Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sasa ni wakati wa Bara la Afrika kubadilika kwa kutumia Nishati Safi
Month: September 2024

Beirut/Israel. Jeshi la Israel (IDF) limedai kuwa limemuua kiongozi mwingine wa kundi la Hezbollah la nchini Lebanon, Nabil Kaouk, madai ambayo hayajathibitishwa na kundi hilo.

Mtanzania Abdulrahim Humoud amesema ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia Konkola Blades FC baada ya ule wa awali kutamatika msimu uliopita. Humuod alisaini mkataba

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Daniel Sillo, ametoa Rai kwa Viongozi wa Usalama barabarani na Viongozi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama

Katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala, Dar es Salaam, tamasha la chakula la Coca-Cola Tanzania maarafu kama ‘Coca-Cola Food Fest’ limezidi kunoga huku muuzaji mmoja,

STRAIKA wa Henan Jianye inayoshiriki Ligi Kuu nchini China, Opah Clement amekuwa na msaada kwenye kikosi hicho eneo la ushambuliaji na kuwa tumaini kwenye kikosi

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa chama CHAMA Cha mapinduzi Tanzania Bara Bw Joshua Mirumbe ametoa wito kwa walimu wa shule binafsi na

Nzega Vijijini. Uhaba wa shule za sekondari katika kata ya Isagenhe unawalazimu wanafunzi kutembea hadi kilomita 40 kusaka elimu, huku changamoto hiyo ikitajwa kuwa kichocheo

KATIKA usiku uliojaa shamrashamra na vionjo vya burudani, Mtanzania Barka Seif Mpanda, ameandika historia baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan leo September 28,2024 amehitimisha Ziara yake ya Kikazi Mkoa wa Ruvuma kwa kuhutubia Maelfu ya