Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 16
Habari

Wakati umefika kwa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia -Rais Samia

September 29, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sasa ni wakati wa Bara la Afrika kubadilika kwa kutumia Nishati Safi

Read More
Habari

Israel yadai kumuua kiongozi mwingine wa Hezbollah

September 29, 2024 Admin

Beirut/Israel. Jeshi la Israel (IDF) limedai kuwa limemuua kiongozi mwingine wa kundi la Hezbollah la nchini Lebanon, Nabil Kaouk, madai ambayo hayajathibitishwa na kundi hilo.

Read More
Michezo

Humoud apewa miwili Zambia | Mwanaspoti

September 29, 2024 Admin

Mtanzania Abdulrahim Humoud amesema ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia Konkola Blades FC baada ya ule wa awali kutamatika msimu uliopita. Humuod alisaini mkataba

Read More
Habari

Sillo awapongeza RSA kwa kutoa elimu ya usalama barabarani

September 29, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Daniel Sillo, ametoa Rai kwa Viongozi wa Usalama barabarani na Viongozi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama

Read More
Habari

BABA LISHE AVUNJA DHANA POTOFU ZA JINSIA KATIKA TAMASHA LA CHAKULA LA COCA-COLA TANZANIA

September 29, 2024 Admin

Katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala, Dar es Salaam, tamasha la chakula la Coca-Cola Tanzania maarafu kama ‘Coca-Cola Food Fest’ limezidi kunoga huku muuzaji mmoja,

Read More
Michezo

Opah Clement tumaini jipya China

September 29, 2024 Admin

STRAIKA wa Henan Jianye inayoshiriki Ligi Kuu nchini China, Opah Clement amekuwa na msaada kwenye kikosi hicho eneo la ushambuliaji na kuwa tumaini kwenye kikosi

Read More
Habari

Walimu wa shule binafsi na za umma hakikisheni mnatoa msisitizo wa vitendo kwenye masomo ya Sayansi

September 29, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa chama CHAMA Cha mapinduzi Tanzania Bara Bw Joshua Mirumbe ametoa wito kwa walimu wa shule binafsi na

Read More
Habari

Wakacha shule kisa kutembea kilomita 40 kusaka elimu Nzega

September 29, 2024 Admin

Nzega Vijijini. Uhaba wa shule za sekondari katika kata ya Isagenhe unawalazimu wanafunzi kutembea hadi kilomita 40 kusaka elimu, huku changamoto hiyo ikitajwa kuwa kichocheo

Read More
Michezo

Barka atwaa tuzo  ya Ballon d’Or

September 29, 2024 Admin

KATIKA usiku uliojaa shamrashamra na vionjo vya burudani, Mtanzania Barka Seif Mpanda, ameandika historia baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon

Read More
Habari

Rais Samia ahutubia wananchi zaidi ya 30,000 waliofurika uwanja wa majimaji Songea

September 29, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan leo September 28,2024 amehitimisha Ziara yake ya Kikazi Mkoa wa Ruvuma kwa kuhutubia Maelfu ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.