Israel yadai kumuua kiongozi mwingine wa Hezbollah

Beirut/Israel. Jeshi la Israel (IDF) limedai kuwa limemuua kiongozi mwingine wa kundi la Hezbollah la nchini Lebanon, Nabil Kaouk, madai ambayo hayajathibitishwa na kundi hilo.  Kupitia taarifa iliyonukuliwa na Shirika la Habari la Al Jazeera leo Jumapili Septemba 29,2024 IDF imesema imemuua kamanda huyo wa ngazi ya juu huku kukiwa na mapigano yanayoendelea kati ya…

Read More

Humoud apewa miwili Zambia | Mwanaspoti

Mtanzania Abdulrahim Humoud amesema ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia Konkola Blades FC baada ya ule wa awali kutamatika msimu uliopita. Humuod alisaini mkataba wa miezi sita ambao ulitamatika msimu uliopita akitokea Namungo ya nchini Tanzania. Akizungumza na Nje ya Bongo, Humuod alisema alipewa mkataba mfupi kwa lengo la kumuangalia lakini baada ya kuonyesha…

Read More

Sillo awapongeza RSA kwa kutoa elimu ya usalama barabarani

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Daniel Sillo, ametoa Rai kwa Viongozi wa Usalama barabarani na Viongozi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kuwaunga mkono Mabalozi wa Usalama Barabarani (RSA) katika juhudi za kujali Usalama Barabarani pamoja na kutoa elimu ya usalama barabarani ili kuliongezea nguvu Jeshi la Polisi Naibu Waziri amesama…

Read More

BABA LISHE AVUNJA DHANA POTOFU ZA JINSIA KATIKA TAMASHA LA CHAKULA LA COCA-COLA TANZANIA

Katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala, Dar es Salaam, tamasha la chakula la Coca-Cola Tanzania maarafu kama ‘Coca-Cola Food Fest’ limezidi kunoga huku muuzaji mmoja, maarufu “Baba Lishe,” akiibuka kuwa kivutio cha kipekee. Stanlaus Baron, ambaye ni muuzaji wa chakula anayekua kwa kasi, amejitokeza kupinga mitazamo ya kijinsia inayokita mizizi katika tasnia ya upishi, akionyesha…

Read More

Opah Clement tumaini jipya China

STRAIKA wa Henan Jianye inayoshiriki Ligi Kuu nchini China, Opah Clement amekuwa na msaada kwenye kikosi hicho eneo la ushambuliaji na kuwa tumaini kwenye kikosi hicho kilichokuwa nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi. Timu ya Mtanzania huyo ipo nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi kati ya 12 zinazocheza ligi hiyo ikikusanya pointi 19…

Read More

Wakacha shule kisa kutembea kilomita 40 kusaka elimu Nzega

Nzega Vijijini. Uhaba wa shule za sekondari katika kata ya Isagenhe unawalazimu wanafunzi kutembea hadi kilomita 40 kusaka elimu, huku changamoto hiyo ikitajwa kuwa kichocheo cha utoro. Changamoto hiyo ya umbali haiishii kwenye utoro pekee, inatajwa kukwamisha ndoto za wanafunzi wengi kuhitimu kidato cha nne, ikielezwa wengi wao huishia njiani wanapokuwa kidato cha kwanza na…

Read More

Barka atwaa tuzo  ya Ballon d’Or

KATIKA usiku uliojaa shamrashamra na vionjo vya burudani, Mtanzania Barka Seif Mpanda, ameandika historia baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon d’Or of the Champions Dream, huko Hispania. Tuzo hiyo ilitolewa jana usiku jijini Barcelona, na kuashiria mafanikio makubwa kwa nyota huyo wa klabu ya CF Damm ya Hispania. Barka Seif,…

Read More