Bashe atoa maagizo watumishi sekta ya kilimo

Kahama. Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe ameitaka Tume ya Umwagiliaji kuhakikisha inakamilisha utekelezaji wa mradi wa Bwawa la Umwagiliaji katika Kijiji cha Malenge mkoani Shinyanga. Mbali na hilo, Bashe amesema Rais Samia Suluhu Hassan hana deni kwa Watanzania katika sekta ya kilimo hivyo watendaji wa wizara wana wajibu wa kuhakikisha maelekezo ya  Serikali…

Read More

Samia ampongeza Profesa Karim Manji tuzo ya Harvard

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempongeza Profesa Karim Manji wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) aliyechaguliwa kuwa miongoni mwa washindi wa tuzo ya muhitimu bora wa Chuo Kikuu cha Harvard. Profesa Karim Manji ameokoa maisha ya watoto wengi wachanga pamoja na waliozaliwa kabla ya wakati na wenye…

Read More

TUVUMILIANE, KUHESHIMIANA KAMA WATANZANIA – DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana kama ilivyoagizwa na vitabu vya Mungu. Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 15, 2024 katika Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaaam. “ Wote tuliokuja hapa tumesikia mahubiri…

Read More

Timu za afya zinakabiliana na hali ya vita nchini Sudan ili kuokoa watoto wachanga – Masuala ya Ulimwenguni

Akiwa na makombora na milio ya risasi, Esraa alimlaza mtoto wake mchanga. Vita vilipozuka nchini Sudan mwezi Aprili 2023, alikuwa akijaribu kufikia kliniki ya afya kwa ajili ya matibabu ya mtoto wake, ambaye alikuwa akipambana na maambukizi na matatizo ya kupumua. Lakini barabara zikiwa zimezibwa kwa mapigano, mama huyo mdogo hakuwahi kufika kliniki; mtoto wake…

Read More

Wananchi Kipunguni wamuangukia Rais Samia malipo ya fidia zao

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wananchi 1,865 wa Mtaa wa Kipunguni Kata ya Kipawa wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wamemuangukia Rais Samia Suluhu Hassan wakiomba walipwe fidia zao. Wananchi hao awali walifanyiwa tathmini mwaka 1997 na tangu wakati huo wamekuwa wakisubiri kulipwa fidia kupisha upanuzi huo. Wakizungumza…

Read More

Dar Lux yaamuriwa kurejesha Sh18 bilioni ya Equity, riba

Dar es Salaam. Kampuni ya Dar Lux  imeamuriwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara kurejesha mkopo iliouchukua kutoka Benki ya Equity Tanzania Limited (EBT) ambao ni zaidi ya Sh18.93 bilioni, baada ya kukaidi kuurejesha. Pia imeamuriwa kulipa riba ya asilimia 10 ya kiasi hicho kwa mwaka kuanzia tarehe iliyotakiwa kurejesha mkopo huo mpaka tarehe ya…

Read More

Goran ambeba Yona, alili bao Chamazi

PAMBA Jiji bado inaendelea kujitafuta baada ya kurejea Ligi Kuu ikiwa imepita miaka 23 tangu iliposhuka daraja, lakini kocha wa timu hiyo, Goran Kopunovic akimtaja kipa Yona Amos kama mchezaji aliyesaidia timu hiyo kuwa imara hadi sasa katika ligi hiyo, licha ya kutopata ushindi wowote. Timu hiyo hadi sasa haijafunga bao lolote wala kuruhusu wavu…

Read More