Hizi zinaweza kuwa dalili za mtu anayetaka kujiua

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku tano tangu dunia iadhimishe siku ya kupinga na kuzuia kujiua, ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa takribani watu milioni nne huwaza na kutamani kujiua kila mwaka, lakini miongoni mwao ni watu 800,000 hujitoa uhai. Kila mwaka ifikapo Septemba 10 dunia huadhimisha siku hii ya kupinga na…

Read More

Taoussi ashusha presha Azam FC

KOCHA mpya wa Azam FC, Rachid Taoussi ameanza na suluhu katika Ligi Kuu Bara akiiongoza kwa mara ya kwanza dhidi ya Pamba Jiji, huku akisema hana presha na matokeo hayo na mambo mazuri yatakuja haraka. Azam ilicheza mechi ya pili jana usiku ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi shukrani zikienda kwa mwamuzi Tatu…

Read More

Nchi Nne mbioni kuanza kunufaika na Gesi Asilia ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa limeingia makubaliano na kampuni mbili za kimataifa kwa ajili ya ujenzi wa mitambo ya kisasa ya kusafirisha gesi asilia kwenda nchi za Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Kenya, na Zambia. Hesehmu ya washiriki wa semina hiyo wakiwa katika pich…

Read More

RC Tabora ataka uchunguzi wa kina kifo tata cha daktari

Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama mkoani humo kufanya uchunguzi wa kina baada ya kuokotwa mwili wa daktari wa Kituo cha Afya cha Ulyankulu akiwa amefariki eneo la Kombo Masai, Malolo, Manispaa ya Tabora. Chacha amebainisha hayo leo Septemba 15, 2024 wakati akizungumza na Mwananchi kuhusu kifo…

Read More

Meridianbet wamepeleka faraja hospitali ya Kijitonyama

  LEO hii Jumamosi ya Septemba 14 2024,  Kampuni ya ubashiri Tanzania Meridianbet, imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Kijitonyama, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kusaidia jamii na kuboresha huduma za afya nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Msaada huo ambao Meridianbet wameamua kutoa ni mashuka pekee…

Read More

WAWEKEZAJI BINAFSI KICHOCHEO KATIKA MAPINDUZI NA USHINDANI WA SEKTA YA ELIMU -RAS MCHATTA

Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha SERIKALI  Mkoa wa Pwani ,imetoa rai kwa wawekezaji binafsi katika sekta ya elimu kuzingatia sheria katika ujenzi wa miundombinu bora na kuajiri walimu wenye sifa na vigezo ili kuchochea Mapinduzi makubwa katika sekta hiyo. Aidha, Serikali ya mkoa huo imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wawekezaji wanaowekeza katika ujenzi wa shule…

Read More

Bikoko asimamishwa, arejesha tena Tabora Utd

KOCHA wa Tabora United, Mkenya Francis Kimanzi hataki utani baada ya kudaiwa kumsimamisha kwa kosa la utovu wa nidhamu beki wa timu hiyo, Andy Bikoko kabla ya kumsamehe na kumrejesha tena kikosini. Kocha huyo ambaye ni muumini wa kusimamia nidhamu hasa kwa wachezaji wanaojaribu kutoka nje ya mstari, wanakumbana na adhabu zake na Bikoko ambaye…

Read More