Tabasamu la matumaini limerejea usoni mwa Mdamu

NYOTA wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu tabasamu la matumaini limerejea usoni mwake baada ya juzi Ijumaa kufanyiwa upasuaji na kushukuru kwa kila aliyechangia kufanikisha matibabu hayo kwa kusema ‘Ahsanteni sana’. Mdamu ametoa kauli hiyo akiwa bado amelazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisubiri kutengemaa kwa afya yake ili kurudi kwenye shughuli zake…

Read More

Leo ni siku ya kumuenzi mkeo, utafanya nini kumfurahisha?

Usisubiri hadi kumbukumbu yake ya kuzaliwa au kumbukizi ya siku ya ndoa ‘anniversary’ kumwonyesha mkeo thamani yake maisha mwako, unajua ipo siku rasmi ya kuadhimisha kumuenzi mke. Kwa lugha ya kimombo inaitwa ‘Wife Appreciation Day’. Siku hiyo inayoadhimishwa Septemba 15 (leo Jumapili), kila mwaka imeteuliwa kuwa maalumu kwa ajili ya kuhakikisha unamshukuru, kumsifu na kumpongeza…

Read More

Novatus Miroshi achekelea namba Uturuki

BAADA ya kumaliza majukumu ya timu ya taifa, Taifa Stars, mchezaji kiraka wa Goztepe ya Uturuki Mtanzania Novatus Miroshi amerejea kujiandaa na Ligi nchini humo akichekelea kupata namba kwenye kikosi cha kwanza. Miroshi alitambulishwa na klabu hiyo Julai 23 mwaka huu akitokea Shakhtar Donetsk ya Ukraine ambako alifanikiwa kucheza michuano ya UEFA Champions League. Akizungumza…

Read More

Operesheni ya kupambana na ugaidi yashika kasi

Miezi miwili baada ya jeshi la Pakistan kuanza operesheni ya kukabiliana na ugaidi, bado mashambulizi ya kigaidi katika baadhi ya maeneo yameripotiwa nchini humo. Kwa mujibu wa takwimu za taasisi ya Pak ya mafunzo ya amani (Pips) inaeleza kuwa mashambulizi 59 yameripotiwa nchini humo mwezi Agosti mwaka huu ikilinganishwa na mashambulizi 38 mwezi Julai, mwaka…

Read More

Mabalozi wa mataifa zaidi ya matano  kushiriki kongamano Zanzibar

Unguja. Wakati likitarajiwa kufanyika tamasha la wajasiriamali Zanzibar, mabalozi kutoka mataifa makuu zaidi ya matano duniani wanatarajia kushiriki katika kongamano maalumu litakalojadili namna bidhaa kutoka visiwa hivyo  zinavyoweza kupata masoko kutoka nchi hizo. Tamasha hilo lenye kauli mbiu ‘Fahari ya Zanzibar, kuimarisha uwezeshaji kidijitali’, linaangazia umuhimu wa matumizi ya kidijitali katika biashara ambalo litakuwa na vipengele…

Read More

Wadau wataka elimu kwa wananchi kuhusu daftari la wakazi

Dar es Salaam. Tayari kipenga cha uchaguzi wa Serikali za mtaa kimepulizwa baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa kutangaza Novemba 27, 2024 ku­­fanyika uchaguzi huo. Katika tangazo hilo, Mchengerwa aliwahamasisha kugombea nafasi za uongozi na kujitokeza kupiga kura. “Tangazo hili limetolewa chini ya…

Read More

Straika wampa kicheko Mayanga | Mwanaspoti

MABAO matano waliyofunga katika mechi mbili za kirafiki, yameipa jeuri Mbeya City, huku kocha mkuu wa timu huyo, Salum Mayanga akieleza kasi hiyo ndiyo anaitaka watakapoianza Championship. Mbeya City inatarajiwa kufungua pazia ya ligi hiyo Ijumaa ya wiki hii, Septemba 20 kuwakaribisha Big Man (zamani Mwadui) iliyoweka makazi yake mkoani Lindi, mechi ikipigwa Sokoine jijini…

Read More

Mavunde azindua umoja wa wasambazaji sekta ya madini

Dar e Salaam. Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema kuanzishwa kwa Chama cha Wasambazaji wa Sekta ya Madini Tanzania (Tamisa), kutachagiza azma ya Serikali ya kuhakikisha utajiri wa madini yaliyopo nchini unawanufaisha  wananchi sambamba na kukuza maendeleo ya kiuchumi. Mavunde ameyasema hayo leo Jumapili Septemba 15, 2024 alipokuwa anazindua chama hicho. Amesema Serikali inataka kuona…

Read More

9 Bara bado hakijaeleweka | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu ikichezwa mechi tatu kwa baadhi ya timu, hali imeonekana kuwa tete kwa miamba tisa kutoonja ladha ya ushindi wala bao na nyingine zikiambulia vichapo. Singida Black Stars iliyocheza mechi tatu hadi sasa ndio wameonekana kuwa imara wakishinda zote na kuongoza msimamo kwa pointi tisa na wastani mzuri wa mabao (manne) ya kufunga…

Read More