Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi wake Desemba, sasa kufanyika 2026

Juba. Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuusogeza mbele uchaguzi wake mkuu uliopangwa kufanyika Desemba 2024, hadi Desemba 2026 huku sababu kuu ikitajwa kuwa ni kutofanyika kwa maandalizi.  Awali, uchaguzi huo ulipaswa kufanyika Desemba 22, 2024, lakini umeahirishwa tena ikiwa ni mara ya pili kuahirishwa. Hata hivyo, Ofisi ya Rais Salva Kiir imesema kuna changamoto zinazoukabili…

Read More

OSHA yawezesha wachimbaji, wapondaji kokoto Dar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wajasiriamali wadogo wapatao 500 wanaojihusisha na uchimbaji na uchakataji kokoto jijini Dar es Salaam wamewezeshwa vifaa kinga na kupatiwa mafunzo ya usalama na afya ili kujiepusha na ajali, magonjwa na vifo vinavyoweza kusababishwa na vihatarishi vilivyopo katika mazingira ya kazi.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…

Read More

Maaskofu Katoliki wakemea utekaji, wataka viongozi wawajibike

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limelaani matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini na kuvitaka vyombo vya dola kutimiza wajibu wake ipasavyo, ili  kurudisha heshima ya Tanzania iliyozoeleka ya kuwa ni  kisiwa cha amani. Mbali na hilo, maaskofu hao wamesema viongozi waliopo kwenye nafasi za kusimamia matukio hayo yasitendeke kama: “Hawakuwajibika…

Read More

CHADEMA: Maandamano yako palepale – Mwanahalisi Online

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, kimesisitiza kuwa hakijafuta maandamano yake iliyoyaitisha 23 Septemba, kupinga kushamiri kwa vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu,Dar es Salaam … (endelea). “Maandamano yetu yako palepale. Hatujayafuta na hatutayafuta,” ameeleza Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho na kuongeza, “tutaweza kuyafuta, ikiwa tu, matakwa yetu yametimizwa.”…

Read More

HADITHI: Bomu mkononi – Sehemu ya kwanza

SIJUI niseme ulikuwa uhuni au ni tamaa ya maisha au ulikuwa ni ujinga, sijui. Tukio hilo nililifanya miaka michache iliyopita wakati huo nikiwa bado msichana mwenye matumaini ya maisha. Kielimu sikuwa nimesoma zaidi ya ile elimu ya kufuta ujinga, yaani kujua kusoma na kuandika. Niliishia darasa la saba tu. Na nilikomea darasa hilo kutokana na…

Read More

Tanzania yakaza msuli Kombe la Dunia T20

MIKUMI imeishinda tena Ngorongoro kwa mikimbio 11 katika mechi ya mwisho ya majaribio kwa nyota wa timu ya taifa wanaonolewa kwa ajili ya michuano ya kufuzu kombe la dunia inayoanza jijini wiki hii. Dar es Salaam imeandaa michuano hiyo inayoshirikisha timu kutoka mataifa sita ya kiafrika kwa ajili ya kutafuta kucheza fainali za kombe la…

Read More

Tanzania, China waliamsha Tenisi ya Meza

NYOTA watano wa timu ya taifa ya mpira wa Meza (Table Tennis) ni miongoni mwa waliochuana katika msimu mpya wa mashindano ya mchezo huo ya Kombe la Urafiki kati ya China na Tanzania. Mashindano hayo yaliyofunguliwa na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian na Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema…

Read More

Simba mkao wa kula leo Afrika

Dar es Salaam. Dakika 90 za mchezo wa ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli leo kwenye Uwanja wa Juni 11, Tripoli, Libya zinapaswa kutumiwa vyema na Simba ili ijiweke katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Kupata ushindi au hata sare katika mechi hiyo itakayoanza saa 2:00…

Read More

Hatari ya ongezeko la watoto katika mikono ya sheria

Dar es Salaam. Mara nyingi tukisikia kuhusu watoto wanaovunja sheria, wengi huhusisha na watoto wa mitaani au wale wasio na makazi maalumu. Lakini taarifa zinasema hata watoto walio kwenye familia huangukia kwenye changamoto hii.  Hiyo ni matokeo ya malezi duni yanayochochewa na kukosekana kwa uangalizi wa karibu wa familia, kunakotajwa kuwa sababu ya watoto kuingia…

Read More