Simba sasa ndo mtaijua | Mwanaspoti

SIMBA inacheza mechi ya kwanza katika michuano Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu ikiwa ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli leo na hakika sasa ndio mtawajua Wekundu wa Msimbazi. Al Ahli ni klabu ya pili kwa mafanikio katika historia ya soka la Libya nyuma ya Al-Ittihad, ikishinda mataji 13 ya Ligi Kuu ya Libya, mataji…

Read More

Fadlu: Kijili anachangamoto inayohitaji muda kuisha

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili akisema ni mmoja wa mabeki wa kulia wenye uwezo mkubwa, huku beki huyo akifunguka kwa Mwanaspoti. Simba ipo ugenini kuanzia saa 2:00 usiku kucheza…

Read More

Magome, mapipa yalivyounda Magomeni Mapipa

Kwa wale wataalamu wa kukisia, ni rahisi ni rahisi kwao kuunganisha maneno  haya mawili: magome na magomeni. Hoja ikiwa pengine kwa kuwapo magome, eneo likaitwa magomeni kwa maana mahala kwenye magome. Ni sawa na kuunganisha mkwaju na kupata mkwajuni, yaani mahala ulipo mti wa ukwaju. Au mbuyu ukapata mbuyuni. Vivyo hivyo kwa minazi ukapata minazini,…

Read More