Utata hukumu ya ndugu waliokiri kuwashambulia wanafamilia

Dar es Salaam. Ni mwaka mzima sasa familia iliyoshambuliwa huku mmoja wao akijeruhiwa kwa kupigwa risasi imekuwa ikisubiri bila taarifa yoyote, rufaa ya hukumu iliyoahidiwa kukatiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) kupinga adhabu waliyosomewa washtakiwa. Katika hukumu hiyo washtakiwa hao ambao ni ndugu wawili, Nahir Mohamed Nasoro na Mundhir Mohamed Nasoro, waliomshambulia Gerdat…

Read More

WATANZANIA ASILIMIA 80 KUFIKIWA NA ELIMU YA FEDHA

    Na. Saidina Msangi, Kibaha, Pwani. Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau na Taasisi zilizo chini yake imejipanga kutoa elimu ya fedha kwa Watanzania asilimia 80 ifikapo mwaka 2025 ili wawezesha wananchi kufahamu umuhimu wa akiba, bima, usimamizi wa fedha binafsi pamoja na kutumia watoa huduma rasmi wa fedha waliosajiliwa. Hayo yamebainishwa na Afisa Usimamizi wa…

Read More

DKT. NDUMBARO – UTANDAWAZI USITUMIKE KUHARIBU UTAMADUNI WETU

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametoa msisitizo kwa jamii za kitanzania kutumia utandawazi kuongeza maarifa katika kuleta maendeleo badala ya kuacha utandawazi uharibu utamaduni wa Taifa. Mhe. Ndumbaro ametoa msisitizo huo wakati akifungua Mdahalo wa Kitaifa wa Maadili uliofanyika Septemba 14, 2024  katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma…

Read More

Tabora Utd, yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

WENYEJI Tabira United imeshindwa kuendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na Tanzania Prisons ambayo haijaonja kabisa ushindi msimu huu. Tabora iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita kupitia mechi za play-off dhidi ya Biashara United ya Ligi ya Championship, ilianza msimu kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Simba…

Read More

BENKI YA Biashara DCB KUENDELEA KUBORESHA MAISHA YA WATANZANIA YAJIVUNIA KUTOA MIKOPO YA ZAIDI YA SHS BILIONI 740 TOKEA ILIPOANZISHWA

BENKI YA BIASHARA YA DCB imesema itaendelea kusimamia misingi ya kuanzishwa kwake ambayo ni kusaidia miradi endelevu ya kupunguza umasikini, kuendeleza jamii na kutoa huduma bora zinazokidhi mahitaji halisi ya kila siku ya wateja wao.     Akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka wa Wanahisa wa benki…

Read More