Dube atupia Yanga ikivunja mwiko Ethiopia

BAO moja lililofungwa na Prince Dube dakika 45 kipindi cha kwanza dhidi ya CBE SA ya Ethiopia limetosha kuitanguliza Yanga mguu mmoja mbele katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikivunja mwiko wa kutiopata ushindi katika ardhi ya nchi hiyo katika michuano ya CAF. Ikicheza kwenye Uwanja wa Abebe Bikila, jijini Addis Ababa,…

Read More

Sababu Udart kusitisha ‘mwendokasi’ Kibaha

Dar es Salaam. Uhaba wa mabasi unatajwa na Kampuni ya Uendeshaji Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), kuwa sababu za kusitisha huduma ya usafiri huo kwenda Kibaha, mkoani Pwani. Mradi wa mabasi hayo ulianza kufanya kazi rasmi Mei 2016 katika Barabara ya Morogoro ukiwa na mabasi 210, huku mahitaji yakiwa ni mabasi 305. Akizungumza leo Jumamosi Septemba…

Read More

OSHA YAWAWEZESHA WACHIMBAJI, WAPONDAJI KOKOTO DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu Wajasiriamali wadogo wapatao 500 wanaojihusisha na uchimbaji na uchakataji kokoto Jijini Dar es Salaam wamewezeshwa vifaa kinga na kupatiwa mafunzo ya usalama na afya ili kujiepusha na ajali, magonjwa na vifo vinavyoweza kusababishwa na vihatarishi vilivyopo katika mazingira ya kazi. Uwezeshaji huo umefanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi…

Read More

Rais wa Comoro achomwa kisu

  RAIS wa Comoro, Azali Assoumani amejeruhiwa katika shambulio la kisu, mamlaka zimesema.“Asante Mungu, maisha yake hayako hatarini,” amesema msemaji wa serikali. MORONI, Comoro Alidungwa kisu alipokuwa akihudhuria mazishi ya kiongozi wa kidini karibu na mji mkuu Moroni lakini “alijeruhiwa kidogo” na amerejea nyumbani, msemaji Fatima Ahamada aliambia shirika la habari la Reuters. Aliongeza kuwa…

Read More

Zitto atia neno uwekezaji Liganga na Mchuchuma

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kusaka mwekezaji wa mradi wa Liganga na Mchuchuma, Kiongozi mstaafu wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe, ameshauri hatua ya uchakataji kuongeza thamani ya chuma ifanyike wilayani Ludewa ili kuharakisha shughuli za maendeleo. Zitto ametoa ushauri huo, baada ya kuonyesha wasiwasi kutokana na mradi wa chuma wa Maganga -Matitu kudaiwa uchenjuaji…

Read More

Prof. Tibaijuka: Wizi wa kura upo

  MWANADIPLOMASIA Prof. Anna Tibaijuka, ametaja kasoro za uchaguzi kuwa ni mbinu chafu za baadhi ya wasimamizi kuchelewa kufungua vituo vya kupigia kura kwa makusudi na wizi wa kura wa wazi wazi. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Prof. Tibaijuka ameyasema hayo leo 14 Septemba 2024 jijini Dar es Salaam alipokuwa anazungumza kwenye…

Read More

WAHOLANZI WAHITIMISHA MAFUNZO KWA MAAFISA NA ASKARI JKT MBWENI

Afisa Mteule kutoka nchini Uholanzi Rob Van Belkom amepokea tuzo maalumu kutoka kwa Brigedia Jenerali Charles James Ndiege kwenye hafla fupi mara baada ya kufunga mafunzo ya wiki mbili kwa Maafisa na Maaskari yaliyofanyika JKT Mbweni Jijini Dar es Salaam.13,Septemba, 2024. Kutoka Kulia Afisa Mteule Rob Van Belcom  anayefuata ni  akipokea zawadi maalumu  kutoka kwa…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AZINDUA UMOJA WA WASAMBAZAJI WA SEKTA YA MADINI

Mwenyekiti wa Chama cha Wasambazaji wa Sekta ya Madini Tanzania (TAMISA), Peter Kumalilwa akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa chama chao. Meneja wa Barrick Tanzania, Melkiory Ngido akizungumza machache. Mjumbe wa Bodi ya TPSF, Octavian Mshiu. Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akifuatilia jambo. Mwakilishi wa Kituo cha Uwekezaji akizungumza machache. Wadau mbalimbali sekta ya…

Read More

Mvungi aongoza Joggin kuhitimisha mazoezi ya Shimiwi 2024

  MKURUGENZI wa Idara ya Sera na Mipango kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Abdallah Mvungi, leo tarehe 14 Septemba 2024, ameziongoza timu za Wizara hiyo katika jogging ya kilometa tisa iliyofanyika katika eneo la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), ikiwa ni hitimisho la maandalizi ya timu hizo kuelekea Mashindano ya SHIMIWI 2024. Anaripoti Mwandishi…

Read More