Kilio uhaba wa maji Dar bado kipo palepale

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha maji yanafika kwa wananchi, kilio cha ukosefu wa maji bado kinasikika mitaani katika Jiji la Dar es Salaam. Miongoni mwa hatua hizo ni ujenzi wa visima 197 jijini Dar es Salaam vilivyofufuliwa mwaka 2022. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alivizindua visima hivyo ili kusaidiua upatikanaji wa…

Read More

Mwenge wa Uhuru wafika kwenye maradi Mkubwa wa BUWASA-Bukoba

Mwenge wa uhuru umeendelea kukimbizwa Mkoani Kagera ambapo unakagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo. Akiwa katika manispaa ya Bukoba umepitia miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji awamu ya pili unaotekelezwa chini ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) uliopo katika kata ya Buhembe ukigharimu zaidi ya…

Read More

Saa 144 za Samia Ruvuma zenye fursa, maagizo

Songea. Ni saa 144 zinazounda siku sita ambazo Rais Samia Suluhu Hassan amezitumia mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi. Kwa mtazamo wa wanazuoni, ziara hiyo kwa maneno machache inatafsiriwa kuwa ya maelekezo, utatuzi kero, fursa na matumaini kwa wakulima. Mtazamo huo wa wanazuoni, unaakisi uhalisia wa mlolongo wa matukio na kauli za Rais Samia akiwa…

Read More

Serukamba afunga vibanda vya wafanyabiashara wasiolipa kodi Mafinga

Mufindi. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba ameagiza kufungwa kwa baadhi ya vibanda katika Soko Kuu la Mafinga lililopo katika halmashauri ya mji wa Mafinga, baada ya wafanyabiashara kushindwa kulipa kodi. Tayari baadhi ya vibanda hivyo vimezungushiwa utepe, ikiwa ishara ya kutoruhusu wafanyabiashara ambao hawajalipa kodi ya halmashauri kuendelea na shughuli zao hadi watakapolipa…

Read More

Kalambo achungulia dirisha dogo mapema

KIPA wa Geita Gold, Aaron Kalambo amesema licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho ana uwezo pia wa kuondoka Desemba mwaka huu wakati wa dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku nia yake ni kucheza Ligi Kuu Bara. Kalambo aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Dodoma Jiji, alisema, licha ya malengo hayo aliyojiwekea bado…

Read More

Lina Tour yamuenzi Malinzi uswahilini | Mwanaspoti

LICHA ya kusaka wachezaji bora, raundi ya nne ya Lina PG Tour pia imemuenzi Dioniz Malinzi kwa mchango wake mkubwa katika kukuza vipaji vya wacheza gofu wazawa katika mpango mahsusi aliouasisi miongo miwili iliyopita, na hivi leo, wachezaji hao ndiyo nyota wanaoifanya Tanzania kuwa moja ya mataifa matano yanayoongoza katika mchezo wa gofu barani Afrika….

Read More