DKT. BITEKO AHIMIZA WANAWAKE KUTUMIA MIFUKO YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza wanawake nchini kutumia fursa ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa ajili ya kukopa na kujiongezea vipato. Dkt. Biteko ametoa rai hiyo leo Septemba 14, 2024 mkoani Singida wakati akimwalilisha Waziri Mkuu wa…