MaguRi, Makapu kuliamsha upya Biashara United

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanga, Elias Maguri na Said Juma ‘Makapu’ ni miongoni mwa wachezaji wapya walioongeza mzuka ndani ya kikosi cha Biashara United kilichopo Ligi ya Championship inayoanza mwishoni mwa mwezi huu. Nyota hao msimu uliopita walicheza katika timu za Ligi Kuu, Maguri akiwa Geita Gold iliyoshuka daraja, wakati Makapu alikuwa Mashujaa…

Read More

WATAALAM WA AFYA WATAKIWA KUZINGATIA VIAPO VYA TAALUMA

Na Oscar Nkembo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Thomas Lutachunzibwa amewataka wataalamu wa Afya kufanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia kiapo cha Taaluma bila kuweka mbele maslahi kwani kiapo cha taaluma hiyo ni maagano na Mwenyezi Mungu. Dkt. Lutachunzibwa ameyasema hayo leo wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya kudhibiti matukio ya Sumu…

Read More

KMKM yazindukia Mwembe Makumbi | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani wa Zanzibar, KMKM juzi jioni walizinduka katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu visiwani humo (ZPL) baada ya kuifumua Mwembe Makumbi City kwa mabao 2-1 baada ya awali kuanza ligi hiyo kwa kipigo kutoka kwa Mafunzo. KMKM ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Unguja na kuifanya ifikishe pointi…

Read More

WANANCHI WATAKIWA KUSHIRIKI KATIKA KUHIFADHI TABAKA LA OZONI NA KUPUNGUZA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

SERIKALI imewataka wananchi kushiriki katika kuhifadhi Tabaka la Ozoni na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi haribifu kama vile majokofu na viyoyozi vilivyokwishatumika (mitumba). Pia, imewataka kuepuka kutupa ovyo majokofu ya zamani ama vifaa vya kuzima moto vyenye kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni au…

Read More

Tuzo yampa nguvu staa Mashujaa

ABDULRAHMAN Mussa ambaye anatumika kama beki wa kulia ndani ya kikosi cha Mashujaa, amesema tuzo aliyoipata katika mchezo dhidi ya Coastal Union imempa nguvu mpya ya kuendelea kupambana. Mussa ambaye pia ana uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji, juzi Ijumaa alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union iliyochezwa kwenye…

Read More

SERIKALI YATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KUHIFADHI TABAKA LA OZONI

…. SERIKALI  imewataka wananchi kushiriki katika kuhifadhi Tabaka la Ozoni na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi haribifu kama vile majokofu na viyoyozi vilivyokwishatumika (mitumba).  Pia, imewataka kuepuka kutupa ovyo majokofu ya zamani ama vifaa vya kuzima moto vyenye kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni…

Read More