Kilio cha haki za watoto chapelekwa kwa Bunge

Dar es Salaam. Wadau wa kutetea haki za watoto nchini wametoa wito kwa Bunge kufanya mapitio ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu kuwezesha kufutwa dhamana kwa makosa yote ya ubakaji na ulawiti kwa watoto. Wito huo umetolewa leo Septemba 14, 2024 jijini Dar es Salaam katika matembezi ya amani yaliyofanywa na wadau hao yakilenga kudai…

Read More

Jenerali Mkunda awavisha nishani Maafisa wa JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF), Jenerali Jacob Mkunda amewavisha nishani za hadhi mbalimbali baadhi ya watumishi wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu. Hafla ya uvalishaji wa nishani hizo imefanyika mkoani Morogoro ambapo miongoni mwa nishani zilizovishwa ni pamoja na Nishani ya Utumishi…

Read More

Wenye ulemavu wataka nafasi uchaguzi serikali ya mitaa

Morogoro. Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, watu wenye ulemavu wameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuwapa nafasi ya kushiriki kusimamia uchaguzi kama ilivyo kwa watu wengine. Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Wilaya ya Morogoro, Aisha Abdalah amesema ili watu wenye ulemavu huo waweze kushiriki kusimamia uchaguzi, chama…

Read More

Watendaji watakiwa kuwa makini uboreshaji wa Daftari

  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaasa watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kutekeleza majukumu yao kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya uandikishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama…

Read More

Miti ilivyozalisha majina ya maeneo maarufu

Dar es Salaam. Miti ina faida chekwa. Kama ulidhani miti inatupatia kivuli, matunda na hata dawa pekee, utakuwa umekosea sana. Miti ni zaidi ya hayo. Tanzania ina utamaduni wa kipekee hasa katika utoaji wa majina ya maeneo. Utamaduni huu ni wa kutumia majina ya miti kuwakilisha maeneo. Ndio maana unaposikia maneno kama Mnazi Mmoja, Mkwajuni,…

Read More

Wahitakiwa wa uhaini wahukumiwa kifo Congo

  MAHAKAMA ya kijeshi nchini Congo (DRC), imewahukumu adhabu ya kifo watu 37, wakiwemo Wamarekani watatu, baada ya kuwatia hatiani kwa mashtaka ya kushirki katika jaribio la mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa DW. Washtakiwa hao, wengi wao wakiwa raia wa taifa hilo, lakini wakiwemo pia Muingereza, Mbelgiji na Mcanada, wana muda wa siku…

Read More

Mtanzania ashinda tuzo ya heshima Chuo Kikuu cha Harvard

Dar es Salaam. Profesa Karim Manji wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) amechaguliwa kuwa miongoni mwa washindi wa tuzo ya mhitimu bora wa Chuo Kikuu cha Harvard. Tuzo hiyo inayotambulika kwa jina la ‘Harvard T.H Chan School of Public Health Alumni Merit Award 2024’ hutolewa kwa aliyewahi kuwa mhitimu wa chuo…

Read More