Faida upanuzi kiwanda cha K4, Kilombero

Dar es Salaam. Miaka kadhaa iliyopita upatikanaji wa sukari Tanzania ilikuwa miongoni mwa masuala yaliyoitatiza Serikali kuhamasisha uwekezaji mpya ili kuhakikisha uzalishaji unatosheleza mahitaji. Takwimu zilizopo zinaonyesha mahitaji ya sukari kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani ni tani zaidi ya 650,000 na uzalishaji wa ndani haukidhi mahitaji. Mikate, vinywaji baridi, migahawa na baadhi…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MANUNUZI YA BIDHAA YA TRILIONI 3.1 MIGODINI

-_Azindua rasmi Chama cha Watoa Huduma na Wauzaji wa Bidhaa Migodini_ -_Afurahishwa na Watanzania kuzingatia ubora_ -_Awataka kushirikiana na kusaidiana_ -_Rais Samia apongezwa kuvutia uwekezaji_ DAR ES SALAAM: Waziri wa Madini Anthony Mavunde, amewataka watanzania wanaoshiriki kwenye mnyororo wa thamani wa sekta ya madini kuchangamkia fursa kubwa iliyopo ya manunuzi ya bidhaa na utoaji huduma…

Read More

WADAU WAITWA KUSAIDIA WAZEE – Mzalendo

Na WMJJWM, Dar Es Salaam Wadau mbalimbali wameombwa kujitokeza kuunga mkono ajenda za kundi la wazee ili kukabiliana na changamoto zinazowakabili wazee. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito huo Septemba 13, 2024 jijini Dar Es Salaam, wakati akifunga kongamano la mwaka la wazee sambamba na…

Read More

WANAWAKE WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI NA KUPIGA KURA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO.

Na WMJJWM-SAME Wanawake nchini wamehamasishwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi sambamba na kupiga kura ili kupata Viongozi wenye sifa watakaoshija nafasi mbalimbali za uongozi. Hayo yamesemwa Wilayani Same mkoani Kilimanjaro na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Mwanaidi Ali Khamis wakati akifungua Kongamano la Wanawake Wilayani humo. Mhe….

Read More

KASEKENYA AWATAKA WAKANDARASI BARABARA YA MNIVATA – NEWALA –MASASI KUONGEZA KASI

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya akisisitiza jambo alipokagua eneo la Kilambo mkoani Mtwara linapotarajiwa kujengwa daraja linalounganisha Tanzania na Msumbiji kwa njia fupi Mbunge wa Jimbo la Nanyamba, mkoani Mtwara, Mheshimiwa Abdallah Chikota akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (Wanne kushoto) alipokagua eneo la Kilambo mkoani Mtwara linapotarajiwa kujengwa…

Read More

KISHINDO CHA TAMASHA LA UTAMADUNI RUVUMA,RAIS SAMIA APONGEZWA

   Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Baadhi ya wamiliki wa hoteli wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed (hayupo pichani) wakati  ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni *Rais Samia apongezwa *Wafanyabiashara…

Read More