Benki Ya Exim Yahitimisha kampeni ya “Tap Tap Utoboe’’ kwa mafanikio, yatangaza washindi watatu wa zawadi ya Gari, Bajaj, na Pikipiki.

Benki ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kwa mafanikio kampeni yake ya Kidijitali ya miezi mitatu iliyojulikana kama Tap Tap Utoboe, huku ikitangaza washindi wa droo kuu ya mwisho, waliojishindia zawadi ambazo ni gari jipya aina ya Mazda CX-5 kwa mshindi wa kwanza, Bajaj aina ya TVS kwa mshindi wa pili , na pikipiki aina ya…

Read More

BUKUA KITITA LEO KUPITIA MERIDIANBET

IJUMAA ya leo inaweza kukupa nafasi ya kuanza mkwanja wa kutosha kupitia michezo ambayo inaenda kuchezwa leo kupitia ligi kuu ya Hispania, Ufaransa, bila kusahau ligi kuu ya Ujerumani. Miamba mitatu leo kutoka ligi kubwa tatu itashuka dimbani kutafuta alama tatu vilabu vya Real Betis kutoka Hispania, Borussia Dortmund kutoka Ujerumani, na Lille kutoka nchini…

Read More

VODACOM TANZANIA WAMKARIBISHA NWANKWO KANU KWENYE TWENDE BUTIAMA

 Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imemkaribisha nchini Tanzania, gwiji wa Soka Barani Afrika kutoka nchini Nigeria, Nwankwo Kanu, katika ziara ya mbio za Twende Butiama mwaka 2024.  Kupitia taasisi yake ya Kanu Heart Foundation, Kanu ameelezea kufurahishwa kwake kuungana na juhudi zinazofanywa na Twende Butiama kama sehemu ya kumuenzi Baba wa Taifa wa Tanzania, Hayati…

Read More

UN yaonya juu ya kuendelea kuhamishwa kwa silaha zilizopigwa marufuku kwenda Ukraine, Urusi – Masuala ya Ulimwenguni

Onyo la Baraza la UsalamaMwakilishi Mkuu wa Masuala ya Upokonyaji Silaha Izumi Nakamitsu alisema kuwa tangu muhtasari wa mwisho juu ya uhamishaji wa silaha wiki mbili tu zilizopitautoaji wa usaidizi wa kijeshi na uhamisho wa silaha na risasi kwa vikosi vya kijeshi vya Ukraine vimeendelea katika muktadha wa uvamizi kamili wa Urusi nchini Ukraine kinyume…

Read More

Biden, Starmer waahirisha uamuzi wa makombora ya Ukraine – DW – 14.09.2024

Katika mkutano wao uliofanyika ikulu ya White House jana Ijumaa, Waziri Mkuu Starmer alizungumzia namna Uingereza na Marekani zinavyofungamana kimkakati katika majaribio yao ya kutatua mzozo wa Ukraine. Starmer alisema wiki na miezi inayokuja itakuwa muhimu nchini Ukraine, na kuongeza kuwa itakuwa muhimu kwa mataifa hayo mawili kuendelea kuisadia nchi hiyo ya Ulaya Mashariki katika…

Read More

Guterres anatoa wito wa 'utamaduni wa amani' na umoja wa kimataifa, huku migogoro ikiongezeka – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza katika Sherehe za kila mwaka za Kengele ya Amani, António Guterres alionya kwamba vita vinaenea, ukosefu wa usawa unaongezeka, na teknolojia mpya zinatumiwa bila ulinzi. “Taasisi za kimataifa lazima ziwe na nafasi nzuri ya kujibu,” yeye alisisitiza. Ombi la Katibu Mkuu linakuja kabla ya wakati muhimu wa ushirikiano wa kimataifa. Baadaye mwezi huu, viongozi…

Read More

ZFDA yanasa bidhaa za vyakula zilizoisha muda wa matumizi

Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi umekamata bidhaa za vyakula na vipodozi zilizokwisha muda wa matumizi katika maduka yaliyopo Mkoa wa Mjini Magharibi. Bidhaa hizo ni mafuta ya kula tani moja, bia, maharage na mahindi ya kwenye makopo, maziwa, na tambi. Bidhaa nyingine ni sabuni na vipodozi vilivyopatikana…

Read More

SMZ yatekeleza malipo ya fidia kazini, 81 wanufaika

Unguja. Mwaka mmoja tangu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) ulipoanzisha skimu ya fao la fidia kwa wafanyakazi wanaopata majanga kazini, jumla ya wafanyakazi 81 wamenufaika. Skimu ya fidia ya ZSSF imeanzishwa mwaka 2023 kutokana na marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar, Na.2 ya mwaka 2005 na Sheria ya Fidia…

Read More