Utalii wa Halal kuitangaza Zanzibar, kupanua wigo wa soko

Unguja. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kupitia Kamisheni ya Utalii imeratibu maonyesho ya utalii wa Halal yanayotarajia kufanyika Oktoba 13, 2024. Utalii huu ambao unahusisha zaidi masuala ya kuheshimu maadili na utamaduni licha ya kwamba unafanyika katika mataifa mengine, kwa Zanzibar ni mara ya kwanza ikiwa ni sehemu ya kupanua wigo wa utalii….

Read More

Jumuiya ya Ulimwenguni Inahimizwa Kusaidia Kutoa Elimu Bora, Kamili kwa Watoto wa Kiukreni – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanafunzi anashiriki katika kipindi cha tiba ya sanaa katika shule inayofadhiliwa na ECW huko Kyiv, Ukrainia. Kwa ushirikiano na UNICEF Ukraine na Caritas Ukraine, shule inatoa usaidizi muhimu wa afya ya akili na kisaikolojia, pamoja na nyenzo muhimu za kujifunzia, kusaidia watoto kupona kutokana na kiwewe na kukuza mshikamano wa kijamii kati ya jamii zinazowakaribisha…

Read More

Shughuli za kiuchumi zaanza kurejea Lulembela

Geita. Shughuli za kiuchumi katika eneo la Lulembela, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita zimeanza kurejea baada ya wafanyabiashara kufungua maduka yao. Biashara katika eneo hilo zilisimama kuanzia Septemba 11, 2024 hadi leo Septemba 13, 2024 walipoanza kufungua maduka, licha ya kuwa bado wateja  wanasuasua kwa sababu ya hofu ya kukamatwa. Wafanyabiashara walifunga maduka yao baada…

Read More

DC Mayanja: Wananchi wapewe elimu ya bima kuepuka majanga

Dodoma. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (Tira) kwa kushirikiana na wadau wa bima imeshauriwa kutoa elimu ya bima kwa wananchi hasa yanapotokea majanga kwa wateja wao, ili wananchi wengi wajue umuhimu wa kukatia bima shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo umetolewa leo Ijumaa, Septemba 13, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Janeth Mayanja…

Read More

Bashe, Mpina uso kwa uso, wakubaliana kuacha siasa

Dar es Salaam. Baada ya kutoleana vijembe ndani na nje ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hatimaye Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina wamekutana uso kwa uso. Bashe yupo kwenye ziara ya kikazi kwenye maeneo mbalimbali nchini na leo Ijumaa, Septemba 13, 2024 amefika katika Jimbo la Kisesa linaloongozwa…

Read More

Yanayokwamisha ufanisi wa ATCL yatajwa

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kukosa umiliki wa viwanja, kutumia ndege kubwa kwa safari za ndani na bei ya nauli kuwa juu,  zimetajwa kuwa sababu za shirika hilo kukosa ufanisi unaotarajiwa. Imeelezwa fedha nyingi hutumika kwa shughuli za uendeshaji tofauti na mapato yanayopatikana. Hayo yameelezwa wakati wa uzinduzi wa Kitabu cha ‘ATCL…

Read More

Mwanafunzi aliyeuawa vurugu za wananchi, polisi Mbogwe azikwa

Geita. Vilio vimetawala mazishi ya Theresia John (18), mwanafunzi wa kidato cha nne aliyepoteza maisha kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwao, Kijiji cha Lulembela wilayani Mbogwe, wakati wa vurugu zilizotokea baina ya askari polisi na wananchi. Vurugu hizo zilitokana na kundi la wananchi waliofika kituo cha polisi kijijini hapo wakishinikiza polisi iwakabidhi wanaume wawili waliodhaniwa…

Read More

Uhamiaji, Kipanga zaangukia pua ZPL

WAKATI maafande wa Zimamoto na JKU wakishuka uwanjani jioni ya leo katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya Zanzibar, juzi Kipanga na Uhamiaji zilipata aibu baada ya kufungwa, huku Mlandege ikibanwa na wageni Junguni nyumbani, kwenye Uwanja wa Amaan B, mjini Unguja. Kipanga ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Gombani, ilifumuliwa na Mwenge mabao 2-1,…

Read More

Airpay Tanzania yadhamini Tamasha la Pili la Fahari ya Zanzibar

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Kampuni ya Airpay Tanzania imetangaza udhamini wake katika tamasha la pili la Fahari ya Zanzibar, linalotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20 hadi 27, 2024, kwenye Viwanja vya Dimani Fumba, Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, anatarajiwa kuzindua tamasha hilo. Akizungumza leo, Septemba 13, 2024,…

Read More