RC Tanga: Wawekezaji wasiolipa fidia wanyang’anywe ardhi

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Buriani amewaagiza wakuu wa wilaya kuhakikisha maeneo ya ardhi yaliyotolewa kwa wawekezaji ambao wameshindwa kulipa fidia kwa wananchi yanarudishwa. Agizo hilo amelitoa leo Ijumaa, Septemba 13, 2024 wakati wa kufungua kikao cha Baraza la Biashara la mkoa. Batilda amesema kuwa baadhi ya wawekezaji wamechukua maeneo ya wananchi…

Read More

MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO WIZARA YA ELIMU ATEMBELEA MRADI WA EASTRIP, NIT

KUPITIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) inatekeleza mradi wa EASTRIP (East Africa Skills for Transformation and Regional Integration Project) ambao ujenzi wake uko mbioni kukamilika unadhamiria kuimarisha ustadi wa kiufundi na kitaaluma ili kuchochea maendeleo ya viwanda na mabadiliko ya uchumi katika nchi husika. Mradi wa EASTRIP ni…

Read More

Ngushi aibeba Mashujaa, Coastal Union hoi

Bao la mshambuliaji Crispin Ngushi, limetosha kuipa ushindi wa pili Mashujaa, ikiendeleza makali yake kwenye Ligi Kuu Bara ikiwalaza Coastal Union ya Tanga. Ngushi amefunga bao hilo pekee dakika ya 14 akipokea pasi ya beki Abderhman Mussa, kisha mfungaji kuwatoka kiakili mabeki na kipa bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, Ley Matampi wa Coastal Union….

Read More

Fursa 'muhimu' kwa ulimwengu salama, endelevu zaidi na wenye usawa – Masuala ya Ulimwenguni

“Tunahitaji mshikamano mkubwa zaidi wa kimataifa leo na kwa vizazi vijavyo, usimamizi bora wa masuala muhimu ya kimataifa na Umoja wa Mataifa ulioboreshwa ambao unaweza kukabiliana na changamoto za enzi mpya,” alisema. Mkutano wa tukio la Future Global Callakisisitiza kuwa taasisi za sasa haziwezi kuendana na mabadiliko ya nyakati. Katika mkutano huo muhimu, Nchi Wanachama…

Read More

Mwinyi azikaribisha Zanzibar taasisi za kitaaluma za kimataifa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi za taasisi za kitaaluma za kimataifa zinazoonyesha dhamira ya kushirikiana na Zanzibar katika kuijengea uwezo wa kielimu katika nyanja mbalimbali. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Septemba 13, 2024 alipokutana na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Imperial cha Uingereza, Profesa Lam Wamsley…

Read More

Mdamu afanyiwa upasuaji | Mwanaspoti

HATIMAYE aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu, amefanyiwa upasuaji wa mguu wa kulia ambao ulikumbwa na changamoto ya jipu la kwenye mfupa. Mdamu alipata ajali ya kuvunjika miguu Julai 9, mwaka 2021, akiwa na wenzake katika basi la timu ya Polisi Tanzania likitokea mazoezini katika Uwanja wa TPC wakienda kambini, ambapo alifanyiwa upasuaji…

Read More

USHIRIKA WATAKIWA KUSAIDIA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

  NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia  Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Suleiman Serera, ameeleza kuwa, Serikali inaitaji kuona Ushirika wa kisasa ambao unafuata mifumo ya kidigiti na kuzingatia taratibu na miongozo ya uendeshaji Ili kuwainua Wakulima. Ameeleza kuwa, kukiwa na Ushirika wa kisasa wakulima watapata huduma kwa haraka mahala walipo ikiwa ni pamoja…

Read More

HOSPITALI ZOTE NCHINI ANZENI KUTUMIA SIMU ZA UPEPO

    Na WAF – Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amezitaka Hospitali zote nchini kuanzisha mfumo wa matumizi ya simu za upepo ili kupunguza matumizi ya siku za mkononi ambazo hazina tija kwenye utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Waziri Mhagama ameyasema hayo leo Septemba 12, 2024 jijini dodoma wakati wa uzinduzi wa…

Read More