ATCL yapewa ujanja – Mtanzania

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Shirika la Ndege Tanzania (ATCL),limeshauriwa kuongeza ununuzi wa ndege ndogo ili kuboresha sekta ya usafiri wa anga nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wajibu, inayojihusisha na kukuza mazingira ya uwajibikaji wa umma nchini,Ludovic Utoh, leo Septemba 13,2024 wakati akizindua Kitabu cha ATCL Business Model kinazozungumzia Hadithi ya…

Read More

Mwekezaji sekta ya Utalii asota rumande akidaiwa kuhujumu uchumi

Na Seif Mangwangi, Arusha MWEKEZAJI na mfanyabiashara katika sekta ya uwindaji wa kitalii nchini, Salehe Salim Alamry ameendelea kushikiliwa mahabusu ya gereza la Kisongo jijini Arusha huku Mahakama ikishindwa kuendelea kusikiliza kesi hiyo kwa kukosa kibali kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini. Wakizungumza jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Arusha, Aisha…

Read More

EXIM BANK YAHITIMISHA KAMPENI YA TAP TAP UTOBOE

BENKI ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kwa mafanikio kampeni yake ya Kidijitali ya miezi mitatu iliyojulikana kama Tap Tap Utoboe, huku ikitangaza washindi wa droo kuu ya mwisho, waliojishindia zawadi ambazo ni gari jipya aina ya Mazda CX-5 kwa mshindi wa kwanza, Bajaj aina ya TVS kwa mshindi wa pili , na pikipiki aina ya…

Read More

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO JITIHADA ZINAZOFANYWA NA THBUB

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Eliakim Maswi, akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa basi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), itakalowasaidia watumishi wake katika utoaji wa huduma kwa wananchi hafla uliofanyika leo Septemba 13,2024 jijini Dodoma. Mwenyekiti wa THBUB Jaji mstaafu Mathew Mwaimu,akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa…

Read More

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA UJENZI WA DARAJA LA HOTOLWA..

NA WILLIUM PAUL, SAME. WANANCHI wa kata ya Bwambo Jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro wameishukuru serikali kwa kuwajengea Daraja la Hotolwa linalounganisha kata hiyo na kata ya Mpinji. Wakizungumza kwa hisia kubwa mbele ya Mbunge wa Jimbo hilo, Anne Kilango Malecela alipofika kujionea Daraja hilo na kisha kufanya mkutano wa hadhara walidai…

Read More

MHE. MWIGULU: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE TMA.

    WAZIRI wa Fedha, Mwigulu  Nchemba ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuahidi kuwa Serikali kupitia Wizara ya Fedha itaendelea kuipa kipaumbele kwa kuwa huduma za hali ya hewa zinasaidia katika mipango mbalimbali ya maendeleo. “Wataalam wa hali ya hewa mnafanya kazi nzuri, utabiri unaotolewa hivi sasa ni wa usahihi na…

Read More

UN 2.0 Inahitaji Ushiriki Imara wa Jumuiya ya Kiraia ya Watu – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Umoja wa Mataifa Maoni na Mandeep Tiwana, Jesselina Rana (new york) Ijumaa, Septemba 13, 2024 Inter Press Service NEW YORK, Septemba 13 (IPS) – Msururu wa majanga unahatarisha ulimwengu wetu. Vita vinavyoendeshwa bila sheria, utawala usio na kanuni za kidemokrasia, kuongezeka kwa ubaguzi dhidi ya wanawake na makundi yaliyotengwa, kuharakisha mabadiliko ya hali ya…

Read More

VIDEO: Polisi yapiga marufuku maandamano ya Chadema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Septemba 23, 2024 jijini Dar es Salaam ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Hata hivyo, Chama hicho kimejibu kikisema ni haki yao kuandamana kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa. Chadema imepanga kufanya maandamano hayo kuishinikiza Serikali ya Tanzania kueleza…

Read More