Mataifa makubwa yaongoze juhudi za amani duniani – DW – 13.09.2024
13.09.202413 Septemba 2024 Waziri wa Ulinzi wa China Dong Jun, amesema leo Ijumaa kwamba nchi yake itaimarisha ushirikiano wa kijeshi na nchi jirani, na kwamba mataifa makubwa yanapaswa kuwa mstari wa mbele kulinda usalama wa kimataifa. https://p.dw.com/p/4kc7M Waziri wa Ulinzi wa China Dong Jun.Picha: Florence Lo/REUTERS Akihutubia kwenye kongamano la kila mwaka la diplomasia ya…