
Vyama vya Ushirika vyatajwa kuwa mkombozi Kwa wananchi
Vyama vya Ushirika nchini vimetajwa kuwa mkombozi katika mashirika na taasisi mbalimbali Kwa kuwaunganisha wafanyakazi na Watu wa kada zote na kuwainua kiuchumi . Hayo yamesemwa na CPA Gabriel Msuya Kaimu Meneja Ushauri wa Coasco ambapo amesema licha ya kuwa na changamoto ndogondogo Bado ushirika umekua na mfanikio makubwa nchini. Amesema kutokana na umuhimu huo…