Ugonjwa wa asubuhi ‘morning sickness’ uko hivi

Katika maisha ya kila siku kwa upande wa kinamama katika huduma za afya ni kawaida kuwahi kukutana na neno la kingereza ‘morning sickness’ kwa Kiswahili ugonjwa wa asubuhi. Ni hali ambayo huwa ni kawaida kuwapata kinamama wajawazito wakati mimba iliyotungwa ikiwa change, yaani kwenye muhula wa kwanza katika wiki ya sita tangu mimba kutungwa. Ugonjwa…

Read More

DK.BITEKO ASISITIZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WATANZANIA WOTE

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko,akizungumza wakati wa uiznduzi wa  jengo la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) lililoenda sambamba  na utiaji saini wa mikataba sita ya utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi za kupikia,hafla iliyofanyika leo Septemba 13,2024 jijini Dodoma. Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO NAIBU  Waziri…

Read More

KAMPENI YA TENDWE BUTIAMA KUPANDA MITI 6,000 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampeni ya Tendwe Butiama, inayolenga kuhamasisha elimu, afya, na mazingira, inatarajiwa kuanza tarehe 26 Septemba na kufika Butiama ifikapo tarehe 13 Oktoba kwa ajili ya kushiriki kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ambayo hufanyika kila tarehe 14 Oktoba. Kampeni hiyo, ambayo inatekelezwa kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania, inalenga kuwafikia watu 1,000…

Read More

Mamilioni ya kasino yanaendelea kutoka

  Baada ya kukaa takribani wiki 2, Lile shindano kubwa la Mamilioni limerudi tena mjini kwa kishindo, Michezo ya kasino ya mtandaoni na sloti kutoka Expanse Studio iliyochaguliwa ni tiketi ya kupata Bonasi za kasino na Mkwanja mrefu. Jisajili Meridianbet. Shindano la Expanse Kasino, linatoa Tsh 1,100,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi…

Read More

Mbarawa akagua ujenziwa matenki ya kuhifadhia mafuta TPA

  WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ametembelea mradi wa ujenzi wa matenki maalum ya kuhifadhia mafuta (Oil Terminal) wa TPA unaofanyika katika wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).  Mradi huo unahusisha ujenzi wa matenki makubwa 15 yenye uwezo wa kuhifadhi ujazo wa lita 378000 za…

Read More

Tunahujumiwa – Nchimbi – Mwanahalisi Online

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amedai kuwa vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji ya raia nchini unakihujumu chama chake na kukigombanisha na wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Tunasema bila mashaka kwamba watu wenye nia mbaya ndio wenye kuendesha magenge ya uhalifu katika nchi yetu,…

Read More

Serikali yadhamiria kulibadili Jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Wajumbe na Bodi ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi(hawapo pichani) wakati wa Uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika Makao Makuu ya wizara jijini Dar es Salaam.Jumla ya wajumbe tisa waliapa kuhudumu katika bodi hiyo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi…

Read More