Dk. Mpango azindua huduma ya upandikizaji mimba Muhimbili
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amehimiza uwekezaji uliofanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wa Upandikizaji Mimba pamoja na uwashaji wa vifaa vya kusaidia kusikia kwa watu wenye changamoto ya kusikia kuwa endelevu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati…