kim Jong Un atangaza kuongeza Silaha za Nyuklia

Katika hatua inayosababisha wasiwasi mkubwa kwa jamii ya kimataifa, Kim Jong Un, kiongozi wa Korea Kaskazini, ametangaza nia yake ya kuongeza silaha za nyuklia baada ya kufanya ziara katika kituo cha siri cha uchakataji uranium ambapo hatua hiyo inaashiria kuongezeka kwa tishio la kimataifa kutoka kwa Korea Kaskazini, ambayo inaonekana kujiandaa kwa nguvu zaidi ya…

Read More

ZOEZI LA KUHAMA KWA HIARI LIPO PALEPALE – WAZIRI CHANA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amesisitiza kuwa zoezi la kuhama kwa hiari kwa wananchi wa Ngorongoro linaendelea huku akisisitiza kwamba Serikali inafanya maboresho mbalimbali ili kurahisisha zoezi hilo. Ameyasema hayo Septemba 12, 2024 alipokuwa akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya…

Read More

Zimamoto sasa wageukia shuleni na hospitali elimu ya majanga

Katika kukabiliana na changamoto ya Majanga ambayo yanatokea kwenye jamii mbalimbali Jeshi la zimamoto a uokoaji wameendelea kutoa elimu Kwa makundi mbalimbali mkoani Morogoro Akizungumza na wazazi pamoja na walezi mbalimbali Msemaji Mkuu wa jeshi la zimamoto n uokoaji nchini Naiibu kamishina Puyo Nzalayaimisi amesema kuwa asilimia kubwa ya matukio ya moto, kwenye majengo husababishwa…

Read More

AIOMBA SERIKALI KUMSAIDIA BAADA YA MJUKUU KUUZA NYUMBA YAKE KINYEMELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkazi wa Mtaa wa Sulungai, Kata ya Ipagala jijini Dodoma, Elizabeth Sudai (80), ameomba msaada kutoka serikalini ili kurudishiwa nyumba yake, ambayo imeuzwa kinyemela na mjukuu wake baada ya kuiba hati na nyaraka muhimu za mali hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari, Elizabeth alieleza kuwa tukio hilo lilitokea mwaka jana wakati alipokuwa safarini kuuguza mgonjwa…

Read More

KAMATI ZA MAAFA WILAYA ZATAKIWA KUWEKA MIPANGO YA DHARULA

Na Mwandishi wetu-SIMIYU Serikali imezitaka Kamati za Usimamizi wa Maafa Ngazi ya Wilaya kuhakikisha zinajiandaa kikamilifu na kuweka mpango wa dharula wa utendaji na uratibu wa mawasiliano katika kukabiliana na maafa kwenye maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga, wakati akifungua mafunzo kwa…

Read More

KATIBU MKUU ATOA MAAGIZO KWA WCF KUHUSU UBORA WA HUDUMA KWA WANANCHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mary Maganga, amelitaka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kuendelea kuboresha ubora wa huduma wanazozitoa kwa wananchi ili kuendana na viwango vya kimataifa vya utoaji huduma bora (ISO certification). Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Cheti cha Ithibati ya huduma bora kwa viwango…

Read More