HAKIELIMU YAZINDUA MRADI WA MAJARIBIO KUWEZESHA WALIMU KUFUNDISHA KWA VITENDO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la HakiElimu Tanzania limezindua mradi wa majaribio ambao umelenga kukuza ufundishaji wa walimu,kupitia teknolojia ambayo itamwezesha Mwanafunzi kupata picha halisi ya kitu anachofundishwa. Akizungumza leo Septemba 12,2024 Jijini Dar es salaam Mkuu wa Programu Shirika la HakiElimu Bw.Godfrey Boniventura wakati wa uzinduzi wa mradi huo amesema kuwa mradi huo…

Read More

PPAA MGUU SAWA KUTOA ELIMU KWA WAZABUNI KATIKA KANDA

Katika jitihada za kuwafikia wadau wa ununuzi wa umma hususan wazabuni, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeweka mkakati wa kutoa elimu kwa wazabuni katika kanda zote nchini. Akiongea na waandishi wa Habari kuhusu mkakati huo, pembezoni mwa Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki Jijini Arusha, Katibu Mtendaji wa…

Read More

Serikali yavuna Sh1.8 trilioni sekta ya uziduaji

Dar es Salaam. Serikali imevuna jumla ya Sh1.877 trilioni kutoka kwa kampuni 44 zilizohusishwa katika sekta ya madini, mafuta, na gesi, huku tofauti kati ya malipo na mapato ikiwa ni Sh402.41 milioni kwa mwaka wa fedha 2021/22. Hayo yamebainishwa leo na Alhamisi Septemba 12, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde alipokuwa akizindua ripoti ya…

Read More

Naibu Waziri Sillo: Nchi imetulia na ipo shwari

Moshi. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo amethibitisha kuwa hali ya usalama nchini ni shwari na amelitaka Jeshi la Polisi kuimarisha mikakati ya usalama wa raia na mali zao kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Sillo ametoa kauli hiyo leo, Septemba 12, 2024, wakati wa…

Read More