Goran aichimba mkwara Azam | Mwanaspoti

KOCHA wa Pamba Jiji, Goran Kopunovic hajaonja ushindi hata mmoja katika Ligi Kuu Bara msimu huu, lakini ametamba kwa namna alivyokiandaa kikosi hicho, anaamini kabisa ataanza kuvuna pointi tatu za kwanza keshokutwa Jumamosi dhidi ya Azam FC, akisema wala hana presha na matokeo yaliyopita. Pamba iliyopanda Ligi Kuu msimu huu sambamba na KenGold ya Mbeya,…

Read More

Onyesho la Nane la SITE kuanza Oktoba 11

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) katika kutangaza Vivutio vya Utalii na fursa mbalimbali za Uwekezaji zilizopo nchini imeandaa Onesho la nane la Site kwa mwaka 2024 litakalofanyika kuanzia Oktoba 11 hadi 13 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Septemba 12, 2024 jijini…

Read More

Mwili wa aliyetoweka wakutwa porini

Mufindi. Jackline Msigwa (26) mkazi wa Njombe ameuawa na watu wasiojulikana na kisha mwili wake kutupwa porini. Mwili huo ulikutwa kwenye msitu uliopo Mtaa wa Ifingo, Kata ya Kinyanambo C katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga wilayani Mufindi, Mkoa wa Iringa. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Alfred Mbena, amethibitisha tukio hilo akisema wanaendelea…

Read More

Zayd arudi baada ya wiki nane

KIRAKA wa Azam FC, Yahya Zayd amerudi mdogo mdogo baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki nane akiuguza majeraha ya goti. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Azam FC, Mbaruku Mlinga alisema baada ya kukamilisha matibabu yake amemkabidhi kwa kocha wa viungo ili kumwangalia na kumjenga kimwili kabla ya kujiunga na wenzake chini…

Read More

Damu ilivyofichua mwanamke aliyefia ndani

Arusha. Katika tukio lililotokea eneo la Moivaro, Arusha mjini, mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Irene Elface, maarufu Mama Queen, mwenye miaka 39, amefariki dunia akihusishwa na madai ya kutoa mimba. Irene, mama wa watoto watatu ambaye alikuwa akiishi bila mume, amebainika kufariki dunia  baada ya damu zilizokuwa zikivuja kutokea chumba kwake na kuwashtua majirani…

Read More

Vipigo vyamvuruga Nkata Kagera Sugar

BAADA ya kipigo cha tatu mfululizo kwenye ligi, vimemvuruga Kocha wa Kagera Sugar, Paul Nkata akisema ubora mdogo wa wachezaji ndiyo sababu ya kushindwa kupata matokeo. Nkata amefunguka hayo baada ya kuambulia kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Tabora United na alisema timu yake haina ubora wa kushindana na timu pinzani. Akizungumza na Mwanaspoti, Nkata…

Read More

Bashe aipongeza kampuni ya GAKI

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ameipongeza Kampuni ya GAKI Investment Ltd inayomilikiwa na Gaspar Kileo kwa uwekezaji wake wenye tija katika sekta ya pamba, hususan kwa kuwa mwekezaji na mnunuzi wa pamba kutoka Kata za Mbutu, Kishapu, na Meatu. Pongezi hizo zilitolewa Septemba 12, 2024, wakati wa ziara ya Waziri…

Read More