Dk Mpango aguswa na gharama upandikizaji mimba

Dar es Salaam. Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Afya, Jenista Mhagama kuzungumza na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba kuhusu msamaha wa kodi wa vifaa vya kupandikiza mimba, ili kupunguza gharama za matibabu kwa wananchi. “Nimepata mapendekezo ya  msamaha wa kodi kwenye vifaa muhimu katika upandikizaji mimba ili kusaidia kushusha gharama…

Read More

Mkosa aongoza kwa ufungaji | Mwanaspoti

KUKIWA kumesaliwa na mechi za raundi tatu kabla ya kukamilisha michezo 30 ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD), mchezaji Amin Mkosa wa timu ya Mchenga Stars anaongoza  kwa kufunga pointi 488. Katika chati za wafungaji vinara wa msimu huu kufikia sasa, Mkosa anafuatiwa na Jonas Mushi kutoka…

Read More

Mwanafunzi adaiwa kumuua rafiki yake wakibishania umri

Moshi. Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha pili (miaka 17) kwa tuhuma za kumuua rafiki yake, John Lema (18) chanzo kikielezwa kuwa, mabishano ya umri. Mwanafunzi huyo mkazi wa Mtaa wa Kalimani, Wilaya ya Moshi inadaiwa yeye na Lema walikuwa marafiki na siku ya tukio walikaa kijiweni wakivuta sigara, wakaanza kubishana…

Read More

Mwana FA: Watanzania msiisuse Taifa Stars

NAIBU Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma “Mwana FA” amewaomba Watanzania kutoisusa timu yao ya Taifa Stars pindi inapokuwa inapata changamoto ya matokeo. Kauli ya kiongozi huyo imekuja kutokana na Watanzania kuonekana kukata tamaa baada ya Stars kutoka suluhu dhidi ya Ethiopia nyumbani katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Afcon kabla ya kushinda…

Read More

ACT- Wazalendo kutumia msemo wa ‘Ubaya ubwela’ uchaguzi wagombea

Dar es Salaam. Kiongozi wa  ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitawateua wagombea makini na wasikivu watakaowania mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji, akiwaomba Watanzania kuwaunga mkono muda utakapofika. Semu ameeleza hayo leo Alhamisi Septemba 12, 2024 akihutubia wananchi wa  Kwa Mkonga wilayani Handeni mkoani Tanga katika mkutano wake wa hadhara…

Read More

NBAA YAHITIMISHA MAFUNZO – MICHUZI BLOG

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imehitimisha mafunzo kwa wataalam kutoka vyuo na taasisi wanaohusika kutunga na kusahihisha mitihani ya Bodi ili kuhakikisha viwango vipya vya mabadiliko ya mtaala vinafuatwa. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku mbili Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa…

Read More