Rais wa Guinea Bissau atangaza kutogombea muhula wa pili – DW – 12.09.2024

Angela Mdungu 12.09.202412 Septemba 2024 Rais wa Guinea Bissau Umaro Cissoko Embalo ametangaza hivi leo kuwa hatowania muhula wa pili katika uchaguzi wa Novemba. Embalo, mwenye umri wa miaka 51, alichaguliwa Januari 2020 akimrithi rais Jose Mario Vaz. https://p.dw.com/p/4kYk8 Rais wa Guinea Bissau Umaro Cissoko Embalo.Picha: Alexei Maishev/TASS/dpa/picture alliance Alimshinda Domingos Simoes Pereira akiwa na…

Read More

Ethiopia inamkumbuka vipi Haile Selassie? – DW – 12.09.2024

Haile Selassie, mfalme wa zamani wa Ethiopia, aliondolewa madarakani miaka 50 iliyopita. Mfalme huyo ambaye alifanya urafiki na viongozi wa Marekani, Ulaya na China, ameacha kumbukumbu mesto katika nchi yake. Mnamo Septemba 12, mwaka 1974, Haile Selassie, aliyekuwa mfalme wa mwisho wa Ethiopia, alikutana na ujumbe wa kamati mpya ya kijeshi iliyoundwa inayoitwa Derg, katika…

Read More

CEFZ yajipanga  kutambulisha mbio  za vikwazo  Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital  Mwalimu wa kujitolea katika taasisi isiyo ya kiselikali ya Creative Education Foundation Zanzibar (CEFZ), Laura Bjorn amesema kuwa ana mpango wa kuutambulisha mchezo mpya wa mbio za vikwazo ‘Obstacle Sports Adventure Racing’ visiwani humo. Laura, raia wa Denmark anayeishi Zanzibar ameyasema hayo baada ya kuhudhuria mafunzo ya wakufunzi wa mchezo…

Read More

Familia, Serikali wamzungumzia Askofu Sendoro

Mwanga. Familia ya Askofu Chediel Sendoro imeeleza namna ndugu yao alivyoishi kwa upendo katika familia na jamii na kwamba hakuwahi kuinua mabega licha ya kwamba alikuwa ni askofu. Askofu Sendoro alifariki dunia Septemba 9, 2024 kwa ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Kisangiro, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro saa 1:30 usiku baada ya gari…

Read More

‘Beach boys’ katikati ya biashara ya dawa za kulevya

Dar/mikoani. Katika maeneo ya pwani ya Tanzania, hasa yenye shughuli za utalii kama Zanzibar, Dar es Salaam na Bagamoyo, kuna kundi maalumu la vijana wanaojulikana kama ‘beach boys’ wanaofanya kazi ufukweni. Vijana hao hufanya shughuli mbalimbali, ikiwemo kukaribisha watalii na kuwaongoza sehemu mbalimbali za burudani, kuwafundisha watu kuogelea na hata kuwasaidia watalii kuelewa tamaduni za…

Read More

Wawili washikiliwa na Polisi Mtwara kwa mauaji

Mtwara. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji katika matukio mawili tofauti ambapo watuhumiwa hao, kila mmoja alitumia kipande cha mti kumshambulia mwenzake na kusababisha kifo chake. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Septemba 12, 2024, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Mtaki Kurwijila amesema watu…

Read More