Bosi TRA azikomalia taasisi za Serikali kulipa kodi

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema katika uongozi wake ndani ya mamlaka hiyo, taasisi za Serikali zinazostahili kulipa kodi zisitarajie kupata upendeleo. Amesisitiza msimamo wake huo, akieleza kuwa anazichukulia taasisi hizo kama walipakodi wengine na hata zinapofika TRA, zijione na hadhi ya mlipakodi na si vinginevyo. Amesema…

Read More

MMESIKIA? Savio imeyatimba kwa Srelio

WAMEYATIMBA. Ndicho unachoweza kusema kwa timu ya kikapu ya Savio baada kuingia katika mfumo wa wakali wa kuangusha mibuyu, timu ya Srelio, na kula kichapo cha pointi 65-53 katika mchezo mkali wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BD) uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Srelio imejenga heshima ya kuwa ‘wazee…

Read More

Tanzania yaiomba EU kuongeza muda mradi uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa Umoja wa Ulaya (EU), kufikiria mpango wa kuongeza muda wa utekelezaji wa mradi wa uongezaji mnyororo wa thamani katika sekta ya uchumi wa buluu (Fish4ACP) nchini humo. Mradi huo unaotekelezwa katika mataifa 12 ya Afrika, Karibea na Pasifiki, unahusisha uongezaji mnyororo wa thamani wa sekta ya…

Read More

Jesca afunika kwa asisti | Mwanaspoti

DB Troncatti imebakiwa na michezo miwili ili ikamilishe michezo 30 ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu (BD), huku mchezaji wa timu hiyo, Jesca Lenga akifunika kwa kutoa asisti 214. Nyota huyo anafuatiwa na Tukusubila Mwalusamba wa Tausi Royals aliyeasisti mara 135, huku Noela Renatus wa Vijana Queens akishika nafasi ya tatu asisti 103. …

Read More

SBAN na RVO wazindua program ya kuwafundisha wawekezaji wadogo

MTANDAO wa wawekezaji kwenye kampuni changa (SBAN) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uholanzi na Wakala wa Biashara wa Uholanzi (RVO) wamezindua rasmi kundi la pili la programu ya kuwafundisha wawekezaji wadogowadogo jinsi ya kuwekeza kwenye kampuni changa ( Tanzania Angel Investors Accelerator) lengo ni kuongeza idadi ya wawekezaji wa ndani na kuvutia mitaji ya kigeni…

Read More

Msako wenye mabucha wanaouza nyama ya punda

Kenya. Viongozi kaunti za Narok na Bomet nchini Kenya wamepanga kuanza operesheni za kukabiliana na wizi wa punda ulioshamiri, huku hofu ya nyama zinazouzwa katika mabucha kuwa ni ya punda ikizidi kutanda. Viongozi hao wakiongozwa na makamishna wa kaunti zao, Kipkech Lotiatia wa Narok na Dk Omar Ahmed wa Bomet tayari wamekutana kupanga mikakati. Tovuti…

Read More

DC MPOGOLO BARABARA ZA LAMI ZINAKUJA UKONGA

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogogolo, amesema serikali imejipanga kikamilifu kuanza ujenzi wa barabara katika Kata za Kivule, Mzinga, Kipunguni na Kitunda,kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam (DMDP) . Ameyasema hayo Dar es Salaam,akiwa katika ziara ya kusikiliza na  kutatua kero za wananchi  wa kata hizo. Amesema…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: KenGold wameamua kutuchekesha

KENGOLD ilitikisa sana katika Ligi ya Championship msimu uliopita hadi ikafanikiwa kupanda kibabe katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Kule Championship ilionekana kubebwa zaidi na nguvu ya fedha na ikaonekana kama ingekuja kuleta ushindani katika Ligi Kuu kwa vile wengi waliamini hali ya kiuchumi kwao haiwezi kuwa tatizo. Hata hivyo, ilipoanza tu maandalizi ya Ligi…

Read More