Simulizi bibi wa miaka 70 alivyofariki dunia kwa kunyweshwa dawa ya ‘Kamchape’

Katavi. Mwanamke mwenye miaka (70), Busula Andrew Magimbi Mkazi wa Kijiji cha Kaparamsenga, Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi amefariki dunia baada ya kulazimishwa na mganga maarufu ‘Kamchape’ anywe dawa ya kienyeji kwa lengo la kuondoa uchawi nyumbani kwake. Tukio hilo limetokea jana Jumatano saa mbili usiku, ambapo inadaiwa watu watatu walifika nyumbani kwa bibi huyo,…

Read More

ARFA yajitosa Mbuni, TMA Stars

WAKATI Ligi ya Championship ikitazamiwa kuanza mwishoni kwa mwezi huu, Chama cha Soka Mkoa wa Arusha (ARFA) kimeweka wazi kimejipanga kutoa sapoti ya kutosha kwa timu za Mbuni na TMA Stars ili zifanye vyema na kupanda daraja. Mara ya mwisho kwa Arusha kuwa na timu ya Ligi Kuu ilikuwa ni mwaka 2014, miaka 10 iliyopita,…

Read More

Vigogo ACT Wazalendo waanza ‘kutimua vumbi’ majimboni

Dar es Salaam. Viongozi wakuu wa chama cha ACT Wazalendo wameanza awamu ya pili ya ziara zao kwa wananchi ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Awamu ya kwanza ya ziara hiyo iliyopewa inayoongozwa na kaulimbiu ya “Miezi 10, Wanachama Milioni 10” ilifanyika kuanzia Julai 22, 2024 hadi…

Read More

Planet yaitambia Profile | Mwanaspoti

PLANET imeendeleza moto katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza kwa kuifunga timu ya Profile kwa pointi 49-45 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Katika mchezo huo, John Pastory aliongoza kwa kufunga pointi 26, aliongoza pia kwa kutoa asisti mara 7 na upande wa udakaji (rebounds) alidaka mara 7. Katika mchezo mwingine…

Read More

SIMULIZI YA MAJONZI: A to Z kuuawa kwa Theresia kwenye vurugu za Polisi, wananchi Geita

Lulembela. “Mwanangu alikua amekaa ndani chumbani kwake mimi nilikuwa sebuleni, nje ya nyumba kulikua na kelele za watu ghafla mwanangu akapiga kelele ya kuita mamaaa…Kwa sauti kisha akaanguka chini, nilivyomuangalia alikuwa anavuja damu nyingi.” Hayo ni maneno ya Grace Wilson mama wa mwanafunzi, Theresia John (18) aliyefariki dunia jana Septemba 11, 2024 baada ya kuzuka…

Read More

DC MPOGOLO MRADI WA DMDP UPO ACHENI KUPOTOSHANA

   Na Mwandishiwetu , Michuzi Tv  Mkuu wa wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo leo amefanya mkutano na wanachi wa kata nne za Kipunguni, Mzinga  kitunda na kivule amabo amepata kuwaeleza namna serikali ya Rais Samia ilivyojipanga kutekeleza miradi mbali mbali ya maendeleo katika kata hizo. Aidha Dc Mpogolo ametumia wasaa huu kuwakumbusha viongozi wa…

Read More

DC Morogoro Mussa Kilakala awataka wafugaji kuacha kutumikisha watoto

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala amelaani vikali baadhi ya Tabia zinazofanywa na wafugaji ya kuwaachia watoto kwenda kuchunga mifugo hali ambayo husababisha migogoro ya wakulima na wafugaji Akizungumza katika ziara yake katika kijiji Cha Mvuha DC Kilakala amesema kuwa wazazi wanapowaachia watoto kwenda kuchunga husababisha kuvamia Mashamba ya wakulima kwani wao wanafanya bila…

Read More