CCM, ACT- Wazalendo waliamsha Pemba

Unguja. Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kudai mwanachama wake mpya kuvamiwa na mali zake kuchomwa moto, ACT-Wazalendo kimeibuka kikieleza madai hayo ni mbinu chafu za kutengenezwa. Septemba 11, 2024 CCM  ilidai mwanachama wake Salum Mohamed Juma, aliyedaiwa kujiunga nacho akitokea ACT-Wazalendo, mali zake zilichomwa moto usiku wa kuamkia Septemba 10, 2024 katika…

Read More

Ukonga Academy yaing’arisha BDL | Mwanaspoti

Wakati timu za kikapu za wanawake zikiendelea kuchuana vikali katika Ligi ya Likapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD), imeonyesha wachezaji wanaotokea katika kituo cha Ukonga Academy ndiyo wanaotawala ligi hiyo. Licha ya timu nyingine kuwakilishwa na wachezaji wenye viwango vya juu, imeonekana wengi wa wachezaji hao wanatokea katika kituo hicho. Baadhi ya wachezaji waliotokea…

Read More

Watu 18 wauawa kwenye kambi ya UNRWA – DW – 12.09.2024

 Mashambulizi hayo ya jana usiku yaliendeshwa katika kituo kinachosimamiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwasaidia wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, ambapo raia wa Gaza walikuwa wametafuta hifadhi. Shule ya Al-Jawni huko Nuseirat ambayo mara kadhaa imekuwa ikishambuliwa kwa mabomu katika kipindi cha miezi 11 ya vita huko Gaza, iliachwa katika hali mbaya huku baada…

Read More

SIMULIZI YA MAJONZI: A to Z kuuawa kwa Theresia kwenye vurugu za Polisi, wananchi

Lulembela. “Mwanangu alikua amekaa ndani chumbani kwake mimi nilikuwa sebuleni, nje ya nyumba kulikua na kelele za watu ghafla mwanangu akapiga kelele ya kuita mamaaa…Kwa sauti kisha akaanguka chini, nilivyomuangalia alikuwa anavuja damu nyingi.” Hayo ni maneno ya Grace Wilson mama wa mwanafunzi, Theresia John (18) aliyefariki dunia jana Septemba 11, 2024 baada ya kuzuka…

Read More

Ninja awakosa Waangola CAF | Mwanaspoti

BEKI wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa katika timu ya FC Lupopo ya DR Congo, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ameshindwa kuondoka na kikosi hicho kwenda Angola kuvaana na wababe wa Coastal Union, AS Bravos katika mechi ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku timu hiyo akianika kinachombeba ugenini. Ninja aliliambia Mwanaspoti kuwa,…

Read More

Israel yashambulia shule Gaza na kuuwa wafanyakazi wa UN – DW – 12.09.2024

Angela Mdungu 12.09.202412 Septemba 2024 Watu 18 wameuwawa baada ya jeshi la Israel kulipua shule kwenye eneo la Nuseirat, Gaza. Kulingana na shirika la ulinzi wa raia katika ukanda huo limesema , miongoni mwa waliouwawa ni wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa. https://p.dw.com/p/4kXeM Watu wakiwa wametawanyika nje ya shule ambayo inatumiwa kujihifadhi Wapalestina waliokimbia mapigano, baada…

Read More

Watoa elimu kupinga utumikishwaji watoto Tengeru

Arumeru. Ili kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyotokana na utumikishwaji watoto hasa kwenye masoko na stendi, shirika lisilokuwa la kiserikali la Save the Children limetoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa wafanyabiashara katika Soko la Tengeru lililoko wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha. Elimu hiyo imetolewa leo ikiwa ni mwendelezo wa wiki ya Azaki…

Read More

Singida BS ikishinda inaishusha Simba kileleni

Utamu wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa michezo miwili, huku macho ya mashabiki yakiwa kwenye Uwanja wa Liti, mjini Singida wakati wenyeji Singida Black Stars watakapovaana na KMC, huku kocha Patrick Aussems akitamba kutaka kuendeleza ubabe ili kuvuna pointi zaidi katika ligi hiyo. Singida ilianza msimu kwa kishindo kwa kupata ushindi wa mechi…

Read More