
UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI BUHONGWA WILAYANI NYAMAGANAWAWAIBUA WANANCHI
Naibu Katibu Mkuu wa Maji , Agness Meena (kushoto),akioneshwa mchoro wa mradi wa uondoshaji majitaka katika Gereza Kuu la Butimba, leo. Mkurugenzi wa Usambazaji wa MWAUWASA, Mhandisi Robert Lupoja(wa pili kutoka kulia), leo akitoa maelezo ya maendeleo ya Mradi wa Matokeo ya Haraka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Maji, Agness Meena (wa pili kutoka kushoto)….