Upatikanaji maji Mwanza bado changamoto

Mikoani. Takwimu za Sensa ya Majengo ya Mwaka 2022 zinaonyesha asilimia 24.9 ya majengo  milioni 13.9 (13,907,951) ya Tanzania Bara yana huduma ya maji, huku hali ikiwa tofauti kwa majengo milioni 10. Kwa mujibu wa sensa hiyo, huduma ya maji katika jengo inahusisha uwepo wa maji ndani ya jengo au kwenye kiwanja cha jengo husika….

Read More

Mlipuko wa Marburg waibuka Rwanda, waua sita, 26 waambukizwa

Dar es Salaam. Wakati watu 26 wakithibitishwa kuugua ugonjwa wa Marburg na sita wakifariki dunia nchini Rwanda, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika (Africa CDC) kimetoa msaada wa ziada na wataalamu nchini humo. Taarifa za awali nchini humo zinaonyesha wengi walioathirika na Marburg ni wahudumu wa afya. Watu sita wameripotiwa kufariki dunia nchini…

Read More

Rais Samia: Sokoine alikuwa mtulivu kwa mamlaka za uteuzi 

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa kisiasa, watendaji wakuu na vijana wa vyama vyote vya siasa kusoma kitabu cha maisha ya Hayati Edward Moringe Sokoine ili wapate mafunzo ya uaminifu, nidhamu na uchapakazi. Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu, Septemba 30, 2024 wakati akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine…

Read More

BARRICK YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KATIKA SEKONDARI YA WASICHANA KUWAWEZESHA KUPATA ELIMU KIDIGITALI

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Wasichana ya Barbro Johansson wakionyesha kompyuta zilizotolewa na kampuni ya Barrick wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule hiyo Meneja Mawasiliano wa Barrick nchini (Corporate Communications and Country Liaison Manager), Georgia Mutagahywa, akiongea na wahitimu ,wazazi na wanafunzi katika shule ya sekondari ya Barbro Johansson iliyopo jijini…

Read More

Jaji Warioba alivyotofautiana na Sokoine agizo la Nyerere

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesimulia mambo  aliyoyasimamia pasina kuyumba, ikiwemo la kukataa kutekeleza agizo la mkuu wa nchi, Mwalimu Julius Nyerere. Mambo hayo yalitokea wakati Warioba akiwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu akiwa Edward Sokoine.  Nyerere alikuwa Rais. Ni simulizi aliyoitoa leo Jumatatu, Septemba 30,…

Read More