Upatikanaji maji Mwanza bado changamoto

Mikoani. Takwimu za Sensa ya Majengo ya Mwaka 2022 zinaonyesha asilimia 24.9 ya majengo  milioni 13.9 (13,907,951) ya Tanzania Bara yana huduma ya maji, huku hali ikiwa tofauti kwa majengo milioni 10. Kwa mujibu wa sensa hiyo, huduma ya maji katika jengo inahusisha uwepo wa maji ndani ya jengo au kwenye kiwanja cha jengo husika….

Read More

BARRICK YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KATIKA SEKONDARI YA WASICHANA KUWAWEZESHA KUPATA ELIMU KIDIGITALI

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Wasichana ya Barbro Johansson wakionyesha kompyuta zilizotolewa na kampuni ya Barrick wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule hiyo Meneja Mawasiliano wa Barrick nchini (Corporate Communications and Country Liaison Manager), Georgia Mutagahywa, akiongea na wahitimu ,wazazi na wanafunzi katika shule ya sekondari ya Barbro Johansson iliyopo jijini…

Read More

Jaji Warioba alivyotofautiana na Sokoine agizo la Nyerere

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesimulia mambo  aliyoyasimamia pasina kuyumba, ikiwemo la kukataa kutekeleza agizo la mkuu wa nchi, Mwalimu Julius Nyerere. Mambo hayo yalitokea wakati Warioba akiwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu akiwa Edward Sokoine.  Nyerere alikuwa Rais. Ni simulizi aliyoitoa leo Jumatatu, Septemba 30,…

Read More