Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 2
Habari

Upatikanaji maji Mwanza bado changamoto

September 30, 2024 Admin

Mikoani. Takwimu za Sensa ya Majengo ya Mwaka 2022 zinaonyesha asilimia 24.9 ya majengo  milioni 13.9 (13,907,951) ya Tanzania Bara yana huduma ya maji, huku

Read More
Habari

WALIMU BOKO TIMIZA WAKOMBOLEWA NA MAMA KOKA KWA VITI NA MEZA

September 30, 2024 Admin

NAVICTOR MASANGU, KIBAHA Mke wa Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mama Selina Koka ametekeleza ahadi yake kwa vitendo ya kukabidhi viti na meza kwa

Read More
Habari

Dk. Biteko asisitiza ushirikiano wazazi, walimu kupata viongozi bora

September 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wazazi na walimu kushirikiana kuwaandaa wanafunzi wao kuwa viongozi

Read More
Habari

Mlipuko wa Marburg waibuka Rwanda, waua sita, 26 waambukizwa

September 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati watu 26 wakithibitishwa kuugua ugonjwa wa Marburg na sita wakifariki dunia nchini Rwanda, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika

Read More
Habari

TANZANIA YARIDHISHWA NA UFADHILI KUTOKA POLAND KUKUZA SEKTA YA MIFUGO

September 30, 2024 Admin

Na.Mwandishi Wetu -Arusha Jumla ya Shilingi Bilioni 1.5 imetengwa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) Kampasi

Read More
Kimataifa

Jinsi Azimio la Makubaliano ya Geneva Linavyotishia Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

September 30, 2024 Admin

Haki ya kutoa mimba imeamuliwa na mifumo ya kimataifa ya haki za binadamu ikiwa ni pamoja na Kamati ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa

Read More
Habari

Rais Samia: Sokoine alikuwa mtulivu kwa mamlaka za uteuzi 

September 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa kisiasa, watendaji wakuu na vijana wa vyama vyote vya siasa kusoma kitabu cha

Read More
Habari

KATAMBI ATOA MATUMAINI KWA WALEMAVU (VIZIWI), AHIMIZA MATUMIZI YA LUGHA YA ALAMA KILA KONA

September 30, 2024 Admin

  Na. Mwandishi wetu: Shinyanga Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema Serikali ya Mhe.

Read More
Habari

BARRICK YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KATIKA SEKONDARI YA WASICHANA KUWAWEZESHA KUPATA ELIMU KIDIGITALI

September 30, 2024 Admin

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Wasichana ya Barbro Johansson wakionyesha kompyuta zilizotolewa na kampuni ya Barrick wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya

Read More
Habari

Jaji Warioba alivyotofautiana na Sokoine agizo la Nyerere

September 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesimulia mambo  aliyoyasimamia pasina kuyumba, ikiwemo la kukataa kutekeleza agizo la mkuu wa nchi, Mwalimu Julius

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.