Miili zaidi yaopolewa Ziwa Victoria ajali ya kuzama mtumbwi

Mwanza. Miili mingine minane imeopolewa Ziwa Victoria baada ya mtumbwi wa mizigo uliobeba abiria wanaodaiwa kufikia 31 kuzama Septemba 25, 2024. Awali, Jeshi la Polisi lilisema lilikuwa likiendelea kutafuta mwili mmoja lakini imeopolewa minane, hivyo kuacha maswali kuhusu idadi ya waliokuwa kwenye mtumbwi huo. Ajali hiyo ilitokea saa 11.00 jioni katika mwalo wa Bwiru wilayani…

Read More

Matumaini mapya ujenzi reli ya kisasa Mtwara-Mbambabay

Songea. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo katika mchakato wa kufanikisha ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Mtwara hadi Mbambabay. Amesema ni kiu ya Serikali kufanikisha hilo ili kuendeleza ushoroba wa Mtwara utakaoiunganisha Tanzania na mataifa mengine jirani. Ingawa ujenzi huo si mchakato wa muda mfupi, amesisitiza lazima itajengwa kwa kuwa ndiyo dhamira ya…

Read More

Chalamila asisitiza amani, ataka wananchi wasidanganyike

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi kuimarisha amani akisema haijengwi kwa kumwaga damu bali kwa kuelewana. Amesema hayo leo Septemba 28, 2024 akiwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya amani Mkoa wa Dar es Salaam yalifanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga wilayani Temeke. Kaulimbiu ya maadhimisho hayo…

Read More

RAIS SAMIA AITKA WIZARA YA KILIMO KUANZIA MSIMU UJAO WAKULIMA WANALIPWA MOJA KWA MJOA NA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara yake mkoani Ruvuma, uliofanyika leo Septemba 28,2024 katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara…

Read More

Mikopo ya ada elimu ya juu yapanda

Dar es Salaaam. Wakati Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ikitangaza awamu ya kwanza ya walionufaika, kiwango cha chini cha mkopo kwa mnufaika kimeongezeka. HESLB imetangaza wanafunzi 21,509 wamepangiwa mikopo katika awamu ya kwanza. Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk Bill Kiwia akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 28, 2024 jijini…

Read More

MAHAFALI YA 46 YA BODI YA NBAA YANG’ARA

Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 46 ya Bodi hiyo yaliyofanyika katika hoteli ya APC Bunju, Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande akipokea maadamano ya kitaaluma pamoja na viongozi wa Bodi pamoja na wajumbe wa Bodi…

Read More

REA YATUMIA BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 105 MKOA WA ARUSHA

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha SEHEMU…

Read More