Waziri Mhagama aanza na Bima ya Afya kwa Wote

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Jenister Mhagama ameahidi kukamilisha haraka mchakato wa Bima ya Afya kwa Wote, ambao kwa sasa upo katika hatua ya kuandaa kanuni. Desemba 4, 2023, Rais Samia Suluhu Hassan alitia saini muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote kuwa sheria kamili. Akizungumza leo Septemba 11, 2024, baada ya…

Read More

DK.JAFO ASEMA SERIKALI IMEWEKA MAZINGIRA MAZURI YA KUFANYA BIASHARA,AAGIZA UJENZI VIWANDA 30

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kufanyia biashara kwa kufanya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu mbalimbali ya usafirishaji pamoja na sekta ya Kilimo. Dk.Jafo ameyasema hayo Septemba  10,2024 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo,wakati akifunga maonesho ya 19, ya Afrika Mashariki yanayofanyika uwanja…

Read More

Simba yafukua faili la Mpanzu

KAMA uliona bado mapema kwa Simba kutafuta mchezaji wa kumsajili dirisha dogo msimu huu, basi umekosea, kwani Wekundu hao wamegonga hodi tena kwa Winga Mkongoman Elie Mpanzu, huku mwenyewe akifunguka na kuwataja mabosi wa Msimbazi. Winga huyo aliyekuwa akiichezea AS Vita kabla ya kutimkia Ubelgiji, aliwahi kuhitajika na Simba lakini aliamua kuwakacha kweupe akitoa sababu…

Read More

WANAOTUNGA MITIHANI YA NBAA WAFIKIWA

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea kutoa mafunzo kwa wataalam kutoka vyuo na taasisi mbalimbali ili kuhakikisha viwango vipya vya mabadiliko ya mtaala vinafuatwa katika utungaji wa mitihani, usahihishaji na uhakiki. Akizungumza na wandishi wa habari Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Elimu na Mafunzo wa NBAA, Peter Lyimo amesema kuwa…

Read More

WAZIRI JAFO: ONGEZENI KASI YA UZALISHAJI SUKARI

Waziri wa viwanda na biashara Dkt. Selemani jafo (Mb) akipokea maelezo ya jinsi mtambo wa kisasa wa kupakia sukari unavyofanya kazi pamoja na mchakato mzima wa uzalishaji sukari unavyofanyika kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bakhresa Group Bw Hussein Sufiani alipotembelea kiwanda hicho Septemba 11, 2024 ……   Waziri wa Viwanda na Biashara…

Read More