
Bashe: Kilimo ni Sayansi na Igunga imekuwa kinara cha uzalishaji P
*Serikali haiwezi kuleta dawa na mbegu bandia Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ameongea na Wakulima wa zao la Pamba katika Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora na kusema kuwa kilimo ni sayansi na kinahitaji tija na ubora na hiyo imekuwa dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mbegu bure,…