Arusha yafungua fursa ya michezo kwa wadau

Halmashauri ya Jiji la Arusha imeonyesha nia ya kushirikiana na wadau pamoja na vituo vya kuibua na kulea vipaji vya michezo ili kutoa nafasi kwa vijana kutimiza ndoto na malengo yao. Hayo yamesemwa na Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Abraham Mollel wakati akifungia tamasha la michezo kwa vijana walio chini ya umri wa miaka…

Read More

‘Ukienda buchani usikubali kuwashiwa feni, unapigwa’

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vipimo Tanzania (WMA), imesema kuna namna wafanyabiashara wa nyama kwenye baadhi ya mabucha wanatumia feni katika kuwaibia wateja wao. Ofisa Mtendaji wa wakala huo, Alban Kihulla ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 11, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam kuhusu majukumu…

Read More

Morocco na tumaini la Stars Afcon 2025

KAIMU kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman Morocco, ameleta matumaini mapya kwa mashabiki wa soka nchini Tanzania. Tangu achukue mikoba ya kuinoa Taifa Stars baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Adel Amrouche wa Algeria kufungiwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Morocco ameonyesha uwezo mkubwa wa kuiongoza timu…

Read More

WMA YAHIMIZA USHIRIKIANO KUTOKA SEKTA BINAFSI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akizungumza na Wahariri pamoja na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali, Septemba 11, 2024 jijini Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akitoa elimu ya vipimo kwa Wahariri na Waandishi wa Habari wakati wa Mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya…

Read More

MBUNGE MTATURU ASHIRIKI MAHAFALI YA KWANZA SHULE MPYA

    MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki mahafali ya kwanza ya kihstoria ya shule mpya ya msingi Mtaturu iliyopo kijiji cha Ikungi huku akiwatakia kheri wanafunzi wa darasa la saba walioanza mitihani yao ya kuhitimu elimu ya msingi hii leo na kuahidi motisha kwa mwanafunzi atakayepata Alama A. Katika salamu zake alizozitoa shuleni…

Read More

DC Shaka aunda kamati kuchunguza kifo cha mjamzito

Morogoro. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro (DC), Shaka Hamdu Shaka ameunda kamati kuchunguza chanzo cha kifo cha mjamzito kinachodaiwa kusababishwa na kucheleweshewa huduma. Amechukua uamuzi huo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa Seleman Makuani, ambaye amedai mke wake Zaituni Mayuga alipoteza maisha baada ya kucheleweshewa huduma akitakiwa kutoa Sh180, 000 kujaza mafuta gari…

Read More