
Arusha yafungua fursa ya michezo kwa wadau
Halmashauri ya Jiji la Arusha imeonyesha nia ya kushirikiana na wadau pamoja na vituo vya kuibua na kulea vipaji vya michezo ili kutoa nafasi kwa vijana kutimiza ndoto na malengo yao. Hayo yamesemwa na Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Abraham Mollel wakati akifungia tamasha la michezo kwa vijana walio chini ya umri wa miaka…