KUAMBIANA CUP YAHITIMISHWA- DC LUDEWA ATUMA UJUMBE KWA VIJANA

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas amewataka wachezaji wa timu ndogo ndogo za mitaani kutumia vyema fursa wanazozipata kutoka kwa wafadhili ikiwemo kupelekwa katika Academy mbalimbali ambapo wanapaswa kuwa wavumilivu kwenye academy hizo Ili waweze kutimiza malengo yao. Mkuu huyo wa Wilaya ameyasema hayo alipokuwa akihitimisha mashindano ya Kuambiana Cup na kuongeza kuwa vijana…

Read More

Tabora Utd yalizamisha jahazi la Kagera mchana

JAHAZI la Kagera Sugar linazidi kuwenda mrama baada ya mchana wa leo kufumuliwa bao 1-0 na Tabora United, ikiwa ni kipigo cha tatu mfululizo kwa timu hiyo inayonolewa na kocha kutoka Uganda, Paul Nkata. Ushindi huo ni wa pili mfululizo kwa Nyuki wa Tabora, baada ya awali kuitungua Namungo ikiwa ugenini mjini Lindi kwa mabao…

Read More

Michuano maarufu ya ‘Tanzania Ladies Golf Open’ kuanza Arusha

Maandalizi yamekamilika kuelekea michuano maarufu ya mchezo wa gofu kwa wanawake inayojulikana kama ‘Tanzania Ladies Golf Open’ itakayofanyika jijini Arusha kwa siku tatu kuanzia Ijumaa wiki hii, huku wachezaji wa kitaifa na kimataifa wakijitokeza kushiriki. Michuano hii ipo katika kalenda ya matukio ya mchezo wa gofu duniani, hivyo kuyafanya kuwa moja ya michuano penda na…

Read More

Padri aliyekufa ajalini kuzikwa Manyoni Septemba 17

Dodoma. Paroko wa Parokia ya Mkula, jimbo la Ifakara, mkoani Morogoro, Padri Nicolaus Ngowi aliyefariki dunia katika ajali ya gari juzi jioni atazikwa Jumatano ya Septemba 17, mwaka huu kwenye makaburi ya wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu, yaliyopo Manyoni, mkoani Singida. Padri Ngowi alifariki papo hapo, Septemba 9, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea…

Read More

Azaki, Sekta Binafsi na Umma kushirikiana kuleta maendeleo kwa jamii

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Foundation for Civil Society (FCS), limeandaa mpango kazi utakaosaidia AZAKi kujikwamua kiuchumi kutokana na ushirikano utakaozikutanisha pamoja na Sekta Binafsi katika utekelezaji wa shughuli zao mbalimbali za maendeleo katika jamii. Hayo yamebainishwa na Afisa Oparesheni na rasilimali watu wa FCS, Karin Mbaga Rupia, wakati wa warsha maalum iliyofanyika…

Read More