Viongozi Chadema wafurika makao makuu kusubiri tamko

Dar es Salaam. Wafuasi na wanachama wa Chadema, wazee kwa vijana wanawake kwa wanaume, wamejitokeza katika Ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam kusubiri tamko la viongozi wao. Tamko hilo ni matokeo ya kikao cha viongozi wote wa chama hicho, Dar es Salaam na Pwani Kaskazini kuanzia ngazi ya Kata…

Read More

Mdamu aanza matibabu Moi | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Wallace Karia, limetekeleza ahadi liliyoitoa wikiendi iliyopita kwa mshambuliaji wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mdamu kumlipia gharama za matibabu, ambapo nyota huyo ni kama ameanza maisha mapya baada ya mateso ya zaidi ya miaka miwili. Julai 9, mwaka 2021, basi la Polisi Tanzania lilipata ajali likitoka…

Read More

Wito wa 'masuluhisho kote' wakati Mkutano Mkuu wa 79 unapofunguliwa – Masuala ya Ulimwenguni

Bwana Yang imesisitizwa hitaji la ukuaji wa uchumi wenye usawa unaoendeshwa na uvumbuzi na uchumi wa kijani, kuhakikisha kwamba “faida za maendeleo ya kiuchumi zinapatikana kwa mataifa yote, makubwa na madogo.” Amani na usalama, aliongeza, pia vitakuwa vipaumbele muhimu, huku akihimiza mataifa kutatua migogoro inayoendelea, ikiwa ni pamoja na Ukanda wa Gaza, Haiti, Ukraine, na…

Read More

WMA kutoa gawio 7.7 mwaka wa Fedha 2025/2026

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla akizungumza na Wahariri na Waandishi wa Habari katikq Mkutano mwendelezo ya Mikutano inayoratibiwa na Msajili wa Hazina ,Jijini Dar es Salaam. Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabato Kosuri akizungumza kuhusiana mikutano kati Mashirika ya Umma yaliyo chini ya Msajili wa Hazina…

Read More

Mziki wa Hamza Simba washtua mastaa

KIWANGO alichokionyesha beki wa Simba, Abdulrazack Hamza katika mechi tatu dhidi ya Coastal Union (Ngao ya Jamii), Tabora United na Fountain Geti za Ligi Kuu, kimewaibua baadhi ya mastaa wa timu za Ligi Kuu kumzungumzia wakisema akiendelea kukomaa atamnyang’anya mtu namba kikosini. Beki huyo aliyesajiliwa na Simba msimu huu kutoka Cape Town United ya Afrika…

Read More

Wasiorejesha mikopo elimu ya juu kubanwa kila kona

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imeunganisha mifumo ya himkakati kwa ajili ya kuwafikia wanufaika wenye kipato lakini hawajaanza kurejesha mikopo ya elimu. Katika hilo HESLB imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita), Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) na Taasisi ya Kuchakata Taarifa za…

Read More