Makambo aja na jipya Ligi Kuu Bara

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Heritier Makambo ‘Mzee wa Kuwajaza’ amesema kuna mabadiliko makubwa ya ubora katika Ligi Kuu Bara kulinganisha na misimu kadhaa nyuma alipokuwa na kikosi cha Yanga. Makambo ameitumikia Yanga kwa misimu miwili tofauti baada ya kuuzwa Horoya ya Guinea na baadaye akarejea tena nchini na kuondoka kwenda Uarabuni kabla ya hivi karaibuni…

Read More

Muhimbili yaanza upandikizaji mimba, ugumba ukiongezeka Tanzania

Dar es Salaam. Huduma ya upandikizaji mimba –Vitro Fertilization (IVF) iliyoanza miezi michache iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, inatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho Alhamisi, Septemba 12, 2024 na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Phillip Mpango. Gharama za upandikizaji ndiyo hasa kitendawili cha huduma hii, inayotarajiwa kwa wagonjwa watakaohitaji huduma hiyo yenye uhitaji mkubwa. Wakati…

Read More

SLOTI YA BOOK OF ESKIMO UNYAMA NI MWINGI

MERIDIANBET kasino wamekusogezea mchezo mwingine wa kupiga pesa, sloti hii inakuja na bonasi za kasino kibao. Jisajili Meridianbet na uanze safari ya kuusaka utajiri. Moja ya kitu kizuri kutoka Sloti ya Book of Eskimo ni mchezo mzuri wa kasino ya mtandaoni unaokupa nafasi ya kushinda kirahisi, endapo utaweza kuvumilia mazingira ya baridi. Kuhusu Sloti ya…

Read More

Singida Black Stars, KMC vita mpya Ligi Kuu Bara

UTAMU wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa michezo miwili, huku macho ya mashabiki yakiwa kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida wakati Singida Black Stars itakapovaana na KMC, huku kocha Patrick Aussems akitamba kuendeleza ubabe. KMC mazoezini Singida ilianza msimu kwa kishindo kwa kupata ushindi katika mechi mbili mfululizo ikiwa ugenini, ikianza kwa kuichapa…

Read More

Wakala wa Vipimo waeleza fursa za uwekezaji kwa sekta binafsi

Wakala wa Vipimo katika utekelezaji wa majukumu yake imeendelea kutoa mchango katika kuchochea maendeleo ya sekta za kiuchumi na kijamii nchini, kuchochea uzalishaji wa bidhaa unaozingatia vipimo sahihi, kuendelea kuchangia katika mfuko mkuu wa Serikali. Akizungumza katika kikao kilicho wakutanisha na wahariri pamoja na waandishi wa habari leo Septemba 11,2024 afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala…

Read More

Makambo aanza kuiona tofauti ubora Ligi Kuu Bara

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Heritier Makambo ‘Mzee wa Kuwajaza’ amesema kuna mabadiliko makubwa ya ubora katika Ligi Kuu Bara kulinganisha na misimu kadhaa nyuma alipokuwa na kikosi cha Yanga.Makambo ameitumikia Yanga kwa misimu miwili tofauti baada ya kuuzwa Horoya ya Guinea na baadaye akarejea tena nchini na kuondoka kwenda Uarabuni kabla ya hivi karaibuni kurudi…

Read More

Kiwanda cha mabomba kurahisisha miradi ya maji, ajira Simiyu

Dar es Salaam. Waziri wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amesema uwepo wa kiwanda cha mabomba ya maji mkoani Simiyu, kutarahisisha utekelezaji wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda mikoa mbalimbali nchini na kuzalisha ajira kwenye eneo hilo. Aweso ameyasema hayo mkoani Simiyu, katika ziara yake ambapo pamoja na mambo mengine ametembelea kiwanda hicho…

Read More