
Makambo aja na jipya Ligi Kuu Bara
MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Heritier Makambo ‘Mzee wa Kuwajaza’ amesema kuna mabadiliko makubwa ya ubora katika Ligi Kuu Bara kulinganisha na misimu kadhaa nyuma alipokuwa na kikosi cha Yanga. Makambo ameitumikia Yanga kwa misimu miwili tofauti baada ya kuuzwa Horoya ya Guinea na baadaye akarejea tena nchini na kuondoka kwenda Uarabuni kabla ya hivi karaibuni…