Hii Taifa Stars usiikatie tamaa

GHAFLA Taifa Stars imepindua meza kibabe na kurudi njia kuu kwenye matumaini ya kufuzu ushiriki wa Fainali za Mataifa Afrika, baada ya kuichapa Guinea kwa mabao 2-1 tena ikiwa ugenini. Mchezo huo wa Kundi H ulipigwa huko Ivory Coast, kulikochaguliwa na Guinea kuwa uwanja wa nyumbani, huku ikitoka kupoteza mbele ya DR Congo wakati Tanzania…

Read More

Changamoto ya malazi Singida yaikwamisha KMC Dodoma

Kikosi cha KMC kimeendelea kusalia Dodoma baada ya kukosa sehemu ya malazi mjini Singida ambako itacheza kesho dhidi ya Singida Black Stars mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa ofisa habari wa timu hiyo, Khaleed Chukuchuku, wameshindwa kusafiri leo kwenda Singida kwakuwa timu imekosa mahali pa kufikia. “Tumeshindwa kufika kituo cha mechi mpaka muda…

Read More

Madina ala kiapo Tanzana Open

MASHINDANO ya gofu ya wazi kwa wanawake yanaanza kesho katika viwanja vya gofu vya Arusha Gymkhana, huku Tanzania ikiwa na mtihani wa kuthibitisha ubora nyumbani baada ya kufanya vizuri viwanja vya ugenini. Madina Iddi ambaye ni bingwa wa mataji matatu  Zambia na Uganda, amesema wako imara kwa mashindano hayo ambayo pia yataiwezesha Tanzania  kupata kikosi…

Read More

Wababe wa magari waanza kutua Iringa

HOMA ya mbio za magari Iringa inazidi kupanda wakati madereva na wasoma ramani wakianza kuwasili leo kabla ya vita ya injini mwishoni mwa wiki. Kuongezeka kwa dereva mkongwe Himid Mbatta wa Iringa na wakali Altaf Munge, Shehazad Munge  na Manveer Birdi kutoka Dar es Salaam kunaweza kumpa wakati mgumu bingwa mtetezi Yassin Nasser ambaye awali…

Read More

Mikumi safi majaribio timu ya taifa kriketi

TIMU ya Mikumi imepata ushindi wa tatu dhidi ya Ngorongoro katika kriketi, ambapo safari hii imeshinda kwa wiketi mbili kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana. Timu hizo za kombani zinaundwa na wachezaji nyota wa kriketi nchini kama maandalizi ya timu ya taifa kwa michuano ya kufuzu Kombe la Dunia zitakazochezwa Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi…

Read More

Wanawake Wanaongoza Rekodi ya Idadi ya Benki Kuu, lakini Maendeleo Zaidi yanahitajika – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Wahariri wa IMF (washington dc) Jumatano, Septemba 11, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Sep 11 (IPS) – Wanawake wanaongoza benki kuu zaidi kuliko hapo awali, kutokana na kuteuliwa katika mwaka uliopita, lakini mafanikio ya hivi majuzi bado yanaacha sehemu ya magavana wanawake kuwa chini ya usawa. Idadi ya wanawake katika nafasi za…

Read More