Maboresho yaliyofanyika katika taasisi za umma yameleta mafanikio katika sekta ya biashara

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Seleman Jafo, ameeleza kwamba maboresho yaliyofanyika katika taasisi za umma yameleta mafanikio makubwa, hususan katika sekta ya biashara na usajili wa kampuni. “hadi kufikia Septemba 10, 2024, zaidi ya biashara 250,000 zimesajiliwa nchini, jambo linaloashiria kuimarika kwa mazingira ya biashara”Waziri Jafo, Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho ya 19…

Read More

FCS KUZIUNGANISHA AZAKI, SEKTA BINAFSI

Afisa Oparesheni na rasilimali watu wa FCS, Karin Mbaga Rupia, akizungumza wakati wa warsha maalum iliyoandaliwa na Shirika hilo kwa kushirikiana na Sekta Binafsi katika maadhimisho ya wiki ya AZAKi inayoendelea JIjiniArusha. mwezeshaji wa warsha hiyo, Sara Teri, akitoa ufafanuuzi wa baadhi ya mambo alipokwa akijibu maswali mbalimbali ya washiriki waliohudhulia katika warsha hiyo. PICHA…

Read More

LISSU ATAKA UCHUNGUZI WA KIMATAIFA KUHUSU UHALIFU WA UTEKAJI NA MAUAJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu, ametoa wito kwa serikali kuanzisha uchunguzi wa kimataifa kuhusu matukio ya uhalifu, ikiwemo utekaji na mauaji yanayoripotiwa nchini. Akizungumza katika mahojiano na *JamboTV*, Lissu alieleza kuwa Vyombo vya Usalama nchini haviwezi kuchunguza matukio hayo kwa sababu vinatuhumiwa kuhusika moja kwa moja. “Lini Jeshi la Polisi liliwahi kuchunguza chochote kuhusu…

Read More

Robo ya nne yaikosesha ushindi UDSM

UZEMBE wa wachezaji wa UDSM Outsiders kwa kufanya madhambi katika robo ya nne ulichangia timu hiyo kupoteza mchezo dhidi ya Savio kwa pointi 69-65. Mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam, uliofanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga, wachezaji Mwalimu Heri na Tryone Edward walifanya madhambi mara nne, jambo lililowafanya wacheze kwa woga wakihofia…

Read More

Timu tano zatangulia nane bora BDL

WAKATI zimebaki mechi tatu ili kumalizika kwa michezo 30 ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kwa kila timu, tayari klabu tano zimetinga hatua ya nane bora. Timu hizo ni Dar City yenye pointi 51, UDSM Outsiders (51), Savio (49), Mchenga Star (50) na JKT (46). Nafasi za timu hizo zimepatikana baada…

Read More