KIUNGO wa Coastal Union, Gift Abubakar amesema, mchezaji anayemvutia katika Ligi Kuu Bara ni kiungo nyota wa Yanga, Khalid Aucho. Gift aliyejiunga na kikosi hicho
Month: September 2024

NI MAHABA MAKUBWA!Maelfu ya wananchi kutoka mkoa wa Ruvuma na maeneo yake wametokelezea kwa wingi, wakiwa na hamasa na furaha tele, kumshuhudia Rais wa Jamhuri

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza neema kwa wakulima, akiielekeza Wizara ya Kilimo, kuanzia msimu ujao wa mavuno, kuwalipa wakulima moja kwa moja na vyama

Maelfu ya wananchi kutoka mkoa wa Ruvuma na maeneo yake wametokelezea kwa wingi, wakiwa na hamasa na furaha tele, kumshuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano

KIUNGO mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Ibrahim Ajibu amesema mechi dhidi ya Simba itakayopigwa kesho Jumapili jijini Dodoma, haina utofauti na mechi zingine ambazo wamecheza Ligi

Na Jeremiah Mbwambo, Zanzibar , 28/09/2024. Wananchi visiwani Zanzibar wamejitokeza kwa wingi kupata huduma ya matibabu kwenye kambi ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) chini

RAIS Samia Suluhu Hassan, amehitimisha ziara yake mkoani Ruvuma, huku akijivunia ujenzi wa miradi ya maendeleo inayoendelea mkoani humo, itakavyowaondolea wananchi umaskini. Anaripoti Mwandishi

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akipokea Taarifa ya Tathmini ya Utendaji Kazi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma

Moshi. Dainess Shao, mama mzazi wa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao aliyeuawa kwa kuchomwa moto na watu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa