Mido Coastal Union aukubali mziki wa Aucho

KIUNGO wa Coastal Union, Gift Abubakar amesema,  mchezaji anayemvutia katika Ligi Kuu Bara ni kiungo nyota wa Yanga, Khalid Aucho. Gift aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Proline FC ya kwao Uganda alisema licha ya Aucho kutoka taifa moja ni miongoni mwa viungo bora anaovutiwa na uwezo wake, huku akiweka wazi alipotua nchini aliwasiliana…

Read More

Serikali yatangaza neema kwa wakulima

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza neema kwa wakulima, akiielekeza Wizara ya Kilimo, kuanzia msimu ujao wa mavuno, kuwalipa wakulima moja kwa moja na vyama vikuu vya ushirika badala ya utaratibu wa sasa wa kupitishia malipo hayo kwenye Vyama vya Msingi (AMCOS). Amesema utaratibu wa kupitisha malipo AMCOS, unawacheleweshea wakulima malipo yao na kuongeza makato….

Read More

NI MAHABA MAKUBWA!, MAELFU YA WANANCHI WAJITOKEZA KUMSIKILIZA RAIS SAMIA UWANJA WA MAJIMAJI SONGEA

Maelfu ya wananchi kutoka mkoa wa Ruvuma na maeneo yake wametokelezea kwa wingi, wakiwa na hamasa na furaha tele, kumshuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, akihutubia katika mkutano mkubwa uliofanyika Uwanja wa Majimaji mjini Songea tarehe 28 Septemba 2024. Mkutano huu unahitimisha ziara…

Read More

Ajibu: Wala hatuna presha na Simba

KIUNGO mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Ibrahim Ajibu amesema mechi dhidi ya Simba itakayopigwa kesho Jumapili jijini Dodoma, haina utofauti na mechi zingine ambazo wamecheza Ligi Kuu. Dodoma itaialika Simba kwenye  Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ikiwa ni muendelezo wa Ligi Kuu, huku ikiwa na rekodi mbaya ya kuwatowahi kushinda wala kutoka sare mbele ya Mnyama,…

Read More

KAMBI YA MAGARI TEMBEZI YA VYUMBA VYA UPASUAJI YA MADAKTARI BINGWA WA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YAANZA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI WA ZANZIBAR

Na Jeremiah Mbwambo, Zanzibar , 28/09/2024. Wananchi visiwani Zanzibar wamejitokeza kwa wingi kupata huduma ya matibabu kwenye kambi ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) chini ya Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la SOTAC katika Hospitali ya Mwera Pongwe, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini, Unguja. Katika kambi hiyo ya matibabu BMH inatumia magari…

Read More

Rais Samia atabiri makubwa Ruvuma akihitimisha ziara yake

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amehitimisha ziara yake mkoani Ruvuma, huku akijivunia ujenzi wa miradi ya maendeleo inayoendelea mkoani humo, itakavyowaondolea wananchi umaskini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza katika uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma, Rais Samia amesema kwenye wilaya zote alizopita ameona maendeleo makubwa. Akianza na sekta ya…

Read More

Mkaguzi wa ndani Korogwe azikwa, mama asimulia alivyomsubiri

 Moshi. Dainess Shao, mama mzazi wa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao aliyeuawa kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana amesimulia alivyokuwa akimsubiri ahudhurie maziko ya baba yake mdogo. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 23, 2024 eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni….

Read More