Sintofahamu uchaguzi CUF, Lipumba apata wapinzani

Miaka 32 sasa imepita tangu Chama cha Wananchi (CUF) kilipopata usajili wa kudumu kama chama cha siasa, huku kikipitia milima na mabonde hadi kufikia sasa, kikiwa ni moja kati ya vyama vitano vikubwa nchini. Chama hiki kimepitia hatua mbalimbali za ukuaji wake, kiliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani nchini na chama kilichoshiriki kuunda Serikali ya…

Read More

Mchenga yatamba kuwanyoosha wapinzani BDL

BAADA ya Mchenga Star kupata ushindi wa pointi 84-64 dhidi ya Ukonga Kings katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kocha mkuu wa timu hiyo, Mohamed Yusuph amesema kwa sasa nguvu wamezielekeza katika   michezo mitatu iliyobaki akiahidi ushindi. Akizungumza na Mwanasposti katika Uwanja wa Donbosco Oysterbay, alisema mkakati wao kuhakikisha…

Read More

MIKOA MINNE KUNUFAIKA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme akiongoza kikao kazi kinacholenga kuanzisha mradi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia shuleni utakaotekelezwa katika mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma, Tabora na Dodoma, kilichofanyika jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Kemilembe Mutasa. Mkurugenzi wa…

Read More

Wahudumu wa Afya DR Congo Wakabiliwa na Changamoto ya Kukosa Chanjo Dhidi ya M-pox – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wahudumu wa afya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wameelezea wasiwasi wao mkubwa kutokana na kuchelewa kupokea chanjo ya ugonjwa wa Mpox, ambao umeendelea kuenea kwa kasi katika eneo hilo. Katika mahojiano na Shirika la Habari la BBC, wafanyakazi wa afya wa jimbo la Kivu Kusini wamesema wanakabiliana na upungufu mkubwa wa vifaa…

Read More

Siasa za uhasama, chuki zinavyoitafuna Zanzibar

Kila ninapowasikia viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na wanasiasa wakihubiri umuhimu wa amani na utulivu ili maisha ya watu yawe salama na wapate maendeleo, huwa najiuliza maswali mengi. Miongoni mwayo ni hayo yanayozungumzwa yanatoka moyoni au ni ya mdomoni tu, kwa vile kinachofanyika ni tofauti na kinachopigiwa debe. Siku zinavyozidi kwenda kuuelekea…

Read More

Mkenya awatoa hofu Pamba, aahidi pointi 3 Azam

LICHA ya kutopata ushindi kwenye mechi tano na kufunga mabao mawili pekee, Nahodha wa Pamba Jiji, Christopher Oruchumu amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisisitiza ni kipindi cha mpito na kwamba itaanza kufanya vizuri kuanzia mchezo ujao dhidi ya Azam FC. Mechi tano za Pamba Jiji tangu Agosti, mwaka huu, chini ya Kocha Goran Kopunovic…

Read More

Ngoma, Fadlu kumekucha | Mwanaspoti

MAISHA ndani ya Simba yanakwenda kasi na siku zinasonga, kwani misimu minne iliyopita walikuwa wakitamba nchini wakiwa ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho la Azam (FA) na pia Ngao ya Jamii, na mambo Msimbazi yalikuwa byee! Lakini, baada ya watani zao, Yanga kujipanga na kuja na mziki mpya mambo yalianza kubadilika Msimbazi,…

Read More

𝗣𝗥𝗢𝗙. 𝗡𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗨𝗡𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗙𝗔𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗘𝗧𝗔 𝗞𝗔𝗦𝗨𝗟𝗨

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Septemba 10, 2024 ametembelea Chuo cha Ufundi Stadi VETA Kasulu Mkoani Kigoma kuona utekelezaji wa mafunzo ambapo ameridhishwa na maendeleo ya Chuo hicho ambacho mpaka sasa kimepokea wanafunzi zaidi ya 180 wa fani mbalimbali za muda mrefu na mfupi. Prof. Nombo amepata nafasi ya…

Read More

BILIONI 1.4 kuwezesha Vijana wenye maarifa bunifu

Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO unaotekelezwa na UNDP hapa Tanzania kwa ufadhili wa na Umoja wa Ulaya na mfuko waIMBEJU wa CRDB Bank Foundation, imeamua kushirikiana ili kubadilisha mwenendo wa ufadhili wa wajasiriamali wabunifuhapa nchini. Ushirikiano huu wa kimkakati unalenga kutumiaruzuku inayotolewa na Umoja wa Ulaya kwa kampuni changa nakufungua fursa ya kupata mikopo ya riba…

Read More