Wabunge wafurahishwa na mitalaa mipya UDSM

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepongeza hatua ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ya kufanya mapitio ya mitalaa ili kukidhi matakwa ya soko la ajira. Hatua hiyo imeelezwa itatatua changamoto ya wahitimu wa vyuo vikuu kukosa ajira kwa kile kinachodaiwa kuwa hawaajiriki. Leo Jumanne Septemba…

Read More

Wasichana rika balehe wawezeshwa vifaa vya Sh500 milioni

Mbeya. Wasichana zaidi ya 40,000 wa rika balehe walio katika hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) katika mikoa ya Mbeya na Songwe, wamekabidhiwa mashine mbalimbali zenye thamani ya Sh500 milioni. Vitendea kazi hivyo ni pamoja na mashine za kuoka mikate na keki kibiashara, majokofu ya keki, kutengeneza vyakula vya mifugo, kuchanganyia saruji,…

Read More

FUNGUO na IMBEJU: Ushirikiano wa Kipekee Kukuza Ufadhili kwa Wajasiriamali Wabunifu wa Tanzania

Tanzania, 10 Septemba 2024. Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO unaotekelezwa na UNDP hapa Tanzania kwa ufadhili wa na Umoja wa Ulaya na mfuko waIMBEJU wa CRDB Bank Foundation, imeamua kushirikiana ili kubadilisha mwenendo wa ufadhili wa wajasiriamali wabunifuhapa nchini.  Ushirikiano huu wa kimkakati unalenga kutumiaruzuku inayotolewa na Umoja wa Ulaya kwa kampuni changa nakufungua fursa…

Read More

Huduma zakijamii zatajwa kuwa changamoto kwa wenye uziwi

Dar es Salaam. Licha ya kuwepo kwa juhudi za kuwashirikisha wenye ulemavu katika fursa na majukumu mbalimbali, watu wenye uziwi wamelalamikia kunyimwa baadhi ya haki ikiwmo ya kumiliki leseni ya udereva. Haki nyingine wanazodai ni pamoja na kukosa huduma sahihi za afya, dini, uwakilishi mahakamani na upungufu wa wakalimani. Hayo yameelezwa leo Jumanne Septemba 10,…

Read More

MHE. SIMBACHAWENE AMTEMBELEA MAMA SITTI MWINYI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akisalimiana na Mama Sitti Mwinyi wakati alipomtembelea nyumbani kwake Mikocheni Jijini Dar es Salaam Septemba 10, 2024 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amemtembelea Mama Sitti Mwinyi…

Read More

Ni pigo Askofu Sendoro wa KKKT, Padri wa Katoliki wafa ajalini

Mwanga. Ni pigo kubwa kwa makanisa, ndivyo inavyoweza kusemwa baada ya makanisa mawili, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na Kanisa Katoliki, kufiwa na viongozi wao kutokana na ajali za barabarani zilizotokea katika maeneo mawili tofauti wilayani Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro. Ajali hizo zimeacha pengo na huzuni kwa familia, waumini na jamii kwa ujumla,…

Read More

Taifa Stars yatamba ugenini ikiichapa Guinea

Taifa Stars imeitoa kimasomaso Tanzania baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Guinea katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 iliyochezwa katika Uwanja wa Charles Konan Banny, Yamoussoukro, Ivory Coast. Guinea walikuwa wa kwanza kupata bao katika 57 kupitia kwa Mohamed Bayo. Bayo alifunga bao hilo…

Read More

Mambo matatu yanayoibeba Simba kwa Al Ahli Tripoli

Dar es Salaam. Timu ya Simba inatarajiwa kushuka uwanjani Jumapili ijayo kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaopigwa nchini Libya dhidi ya Al Ahli Tripoli. Al Ahli inakutana na Simba baada ya kuiondosha Uhamiaji ya Zanzibar kwa jumla ya mabao 5-1, ambapo mchezo wa kwanza ilishinda mabao 2-0 kabla…

Read More