Watu 12 mbaroni vurugu za wafugaji, wakulima Kilosa

 Morogoro. Wakazi 12 wa Kijiji cha Malangali, Kata ya Tindiga wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wanashikiliwa polisi na wengine wanane wanaendelea kusakwa wakidaiwa kuhusika na vurugu za wafugaji na wakulima. Hata hivyo, Mkuu wa Oparesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishina wa Polisi (DCP), Mihayo Msikhela amesema jeshi hilo halitamvumilia yeyote atakaye vunja sheria….

Read More

Jaji Mihayo afunguka mapya matukio ya utekaji, mauaji

Dar es Salaam. Wakati wadau wakitaka kuundwa tume ya kijaji kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji, Jaji mstaafu Thomas Mihayo ameshauri iwepo Mahakama Maalumu ya Uchunguzi wa vifo vyote vyenye utata nchini. Hoja hizo zimetolewa kutokana na matukio yanayojitokeza nchini ya watu kutekwa na kuuawa, likiwamo la aliyekuwa kada wa Chadema, Ally Kibao. Kwa mujibu…

Read More

Kanisa la shincheonji la Yesu Lavuta Umati Mkubwa Cheongju

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mnamo Septemba 8, 2024, Kanisa la Shincheonji Church of Jesus huko Cheongju liliandaa mkusanyiko muhimu, uliovutia takriban watu 80,000, wakiwemo washiriki kutoka mikoa mbalimbali na wachungaji 100 wa Kiprotestanti. tukio hilo liliadhimisha mwaka wa 30 tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Cheongju na lilihusisha ziara ya Mwenyekiti Man Hee Lee kama…

Read More