Costech yazindua programu za mafunzo kwa wasichana

Dar es Salaam. Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (Costech) imezindua rasmi programu mbili za Future Femtech na Kuza Femtech ambazo zinalenga kuwasaidia wasichana kitaaluma na kiteknolojia. Programu hizo zimezinduliwa leo Septemba 10, 2024 Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Costech, Dk Amos Nungu kwa lengo la kuwainua wasichana ili waweze kuendesha maisha yao…

Read More

DCEA YAKAMATA 1,815 KG ZA DAWA ZA KULEVYA AINA YA SKANKA

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ukamataji huo uliohusisha watuhumiwa watano waliodaiwa kuhusika na dawa hizo umefanyika kupitia operesheni iliyofanyika Agosti 28 hadi Septemba 2 mwaka huu katika maeneo ya Luguruni Mbezi na Magomeni…

Read More

RAIS SAMIA AMEELEKEZA RASILIMALI ZINAZOCHIMBWA NCHINI ZIWANUFAISHE WATANZANIA – DKT. BITEKO

📌 Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi 📌 Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania kunufaika na rasilimali zinazochimbwa katika maeneo yao kwa kutoa fursa mbalimbali ikiwemo ajira. Hayo yameelezwa…

Read More

DCEA yakamata kilo 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ukamataji huo uliohusisha watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na dawa hizo umefanyika kupitia operesheni iliyofanyika Agosti 28 hadi Septemba 2 mwaka huu katika maeneo…

Read More

Ujerumani yaijaribu EU kwa kuongeza udhibiti mipakani – DW – 10.09.2024

Mwezi uliopita, shambulio hatari la kisu mjini Soligen liliwaua watu watatu. Mshambuliaji alikuwa mtafuta hifadhi kutoka Syria ambaye alidai kuongozwa na kundi la Islamic State. Mwezi Juni, shambulio jingine la kisu lililofanywa na mhamiaji kutoka Afghanistan liliua afisa mmoja wa polisi na kuwajeruhi watu wengine wanne. Lakini majirani wengi wa Ujerumani ni wanachama wa Umoja…

Read More

Majaliwa ataja mbinu kuwafichua waharibifu wa mazingira

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wadau kuwafichua wanaofanya shughuli zinazoharibu mazingira kwa kuwaripoti kwenye mamlaka zilizo karibu ili kuisaidia Serikali kuwachukulia hatua. Majaliwa amesema hayo leo Jumanne, Septemba 10, 2024 alipofunga mkutano maalumu wa viongozi, wataalamu na wadau kuhusu mwenendo wa hali ya mazingira nchini. Majaliwa amemtaka kila mdau kufuatilia mwenendo wa mazingira nchini…

Read More

MAMILIONI NJE NJE LEO KUPITIA UEFA NATIONS LEAGUE

UNATAKA kua milionea mpya mjini? Jibu ni moja tu ni kupitia michuano ya Uefa Nations League ambayo inaendelea kupigwa, Meridianbet wamehakikisha unakua milionea kwani wamemwaga Odds za kutosha kupitia michuano hii. Michuano hii ambayo inapigwa kipindi hiki ligi zimesimama ndio imekua mkombozi wa wabashiri, Uefa Nations League ina michezo ya kibabe kwelikweli lakini pia wabashiri…

Read More

MAJALIWA: SUALA LA MAZINGIRA LIWE AJENDA YA KITAIFA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano Maalum wa Viongozi , Wataalamu na Wadau wa Mazingira kuhusu Mwelekeo wa Mazingira Nchini,  kwenye  Kituo cha Mikutano cha  Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Septemba  10, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ……… WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa…

Read More

Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori wapewa mizinga 300

Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana…

Read More

Sh1.4 bilioni kukuza wajasiriamali wabunifu Tanzania

Dar es Salaam. Vijana na wanawake wabunifu wanatarajiwa kunufaika na Mradi wa Ubunifu wa Funguo, unaotekelezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) ambao umepanga kutoa Sh1.4 bilioni kwa lengo la kuliinua kundi hilo. Msimamizi wa mradi huo, Joseph Manirakiza amesema hayo leo Jumanne, Septemba 10, 2024 jijini Dar es Salaam mbele ya…

Read More