
Timu ya Umoja Forest yaibuka mshindi katika mashindano ya Bushiri Rede Super Cup
Na Mwandishi Wetu Timu ya Umoja Forest imechukua ubingwa kwa kuibamiza timu ya washngton DC magori Saba dhidi ya Gori moja katika mashindano ya kombe la Bushir Rede Super Cup. Mashindano hayo yaliyoratibiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbopo Kata ya Mabwepande Bushir Mziwanda kwa ajili ya kuwajenga vijana katika mazoezi kuepukana na…