
Risasi, Kahama Sixers freshi | Mwanaspoti
RISASI na Kahama Sixers zimeianza vizuri kampeni ya kuwania ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga baada ya kushinda katika hatua ya kwanza ya nusu fainali. Katika mchezo wa kwanza Risasi iliishinda Veta kwa pointi 12-80, huku Kahama Sixers ikifunga B4 Mwadui kwa pointi 80-75. Akizungumza na Mwanaspoti, Kamishina wa Ufundi na Mashindano wa…