Risasi, Kahama Sixers freshi | Mwanaspoti

RISASI na Kahama Sixers zimeianza vizuri kampeni ya kuwania ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga baada ya kushinda katika hatua ya kwanza ya nusu fainali. Katika mchezo wa kwanza Risasi iliishinda Veta kwa pointi 12-80, huku Kahama Sixers ikifunga B4 Mwadui kwa pointi 80-75. Akizungumza na Mwanaspoti, Kamishina wa Ufundi na Mashindano wa…

Read More

Lwakatare: Profesa Lipumba akigombea naondoa jina langu

Dar es Salaam. Kada mkongwe wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilfred Lwakatare, mmoja wa waliochukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho, amesema endapo mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba atagombea tena, yeye ataondoa jina. Lwakatare ni miongoni mwa waliochukua fomu kuwania nafasi hiyo kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 13 – 15, 2024…

Read More

Muongozo wa matumizi ya akili mnemba – DW – 10.09.2024

Mpango huo pia unatoa muongozo wa vitendo zaidi kuliko waraka sawa uliotolewa mwishoni mwaka jana, lakini bado hauna nguvu ya kisheria.  Mkutano wa akili mnemba unaoshughulikia uwajibikaji katika matumizi ndani ya jeshi (REAIM) unaoendelea mjini Seoul, ni wa pili wa aina yake, na unafuatia ule ulifanyika mjini Amsterdam, Uholanzi, mwaka jana. Wakati wa mkutano huo…

Read More

Wadau wapendekeza bandari ya kupokea gesi

Dar es Salaam. Ili kupunguza gharama za bei ya gesi ya kupikia nchini, Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Gesi za Mitungi Tanzania (TZLPGA), Amos Jackson amependekeza bandari ya pekee, sambamba na miundombinu ya kupokea gesi hiyo. Akifafanua amesema kwa kuwa gesi ya mitungi haizalishwi nchini inaagizwa basi kunapaswa kuwe na bandari…

Read More

CCM wataja mambo matano yanayombeba Rais Mwinyi

Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa ametaja mambo matano ya kujivunia na kuungwa mkono katika uongozi wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi tangu aingie madarakani Novemba 2020.  Mambo hayo ni Zanzibar yenye kuheshimu, kulinda na kuenzi misingi ya demokrasia na siasa za maendeleo, yenye kuenzi na…

Read More