Watu 40 wauawa katika kambi ya al-Mawasi huko Gaza – DW – 10.09.2024

Shirika la habari la Palestina WAFA limeripoti kuwa Israel ilishambulia vikali mapema leo Jumanne  katika eneo wanakoishi wakimbizi wa ndani. Lilikuwa shambulio kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika kambi ya  al-Mawasi yenye msongamano wa watu wanaoishi kwenye mahema huko Gaza, eneo ambalo Israel ililiteua kuwa la kibinadamu kwa mamia ya maelfu ya raia wanaotafuta eneo salama ili kuepuka…

Read More

MKURUGENZI MKUU WA TPA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA COSCO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mbossa, mnamo Septemba 9, 2024, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Shirika la Meli la COSCO kutoka China, Bw. YangFan Chen, kujadili mbinu za kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kati ya TPA na COSCO. Katika mkutano huo, viongozi hao walijadili namna…

Read More

MCL, ATOGS, TZLPGA kuandaa kongamano la ‘Energy Connect 2024’

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Jumuiya ya Watoa Huduma za Mafuta na Gesi Tanzania (ATOGS) na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Gesi za Mitungi Tanzania (TZLPGA), wametia saini Mkataba wa Makubaliano kuandaa Kongamanano la Nishati Safi liitwalo ‘Energy Connect 2024.’ Kongamano hilo lenye kaulimbiu: “Ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi…

Read More

TAMASHA LA KITAIFA LA UTAMADUNI KUANZA SEPTEMBA 20,MWAKA HUU MJINI SONGEA

KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Gerson Msigwa,akizungumza leo Septemba 10,2024 jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa litakalofanyika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Gerson Msigwa,akisisitiza jambo kwa  waandishi wa habari kuhusu Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa litakalofanyika…

Read More

MKUTANO WA MADINI NA UWEKEZAJI WA TANZANIA WALENGA KUPUNGUZA CHANGAMOTO NA KUKUZA MAENDELEO ENDELEVU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkutano wa Madini na Uwekezaji wa Tanzania umeanza leo, ukiwa na lengo la kuonyesha uwezo mkubwa wa sekta ya madini nchini na kuimarisha matumizi ya madini kwa uwajibikaji na kwa kujumuisha jamii. Mkutano huu, unaandaliwa kwa ushirikiano wa Wizara ya Madini, unatoa jukwaa kwa wadau wa sekta ya madini, wawekezaji, na wataalamu wa maendeleo kujadiliana,…

Read More

Familia ya kada Chadema aliyeuawa yaipa ujumbe Serikali

Tanga. Familia ya aliyekuwa mjumbe wa sekretarieti ya Chadema, Ali Kibao imeiomba Serikali kuharakisha uchunguzi wa kifo kada huyo na ipewe taarifa ya kinachoendelea. Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya Septemba 6, 2024 eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya basi la Kampuni…

Read More

Kagoma Simba, Lawi Coastal mchongo mzima upo hivi!

BADO mjadala mdomoni kwa mashabiki wa Soka hususani wale Simba, Yanga na Coastal ni hatma ya wachezaji wawili tu. Yusuf Kagoma na Lameck Lawi. Lakini Mwanaspoti limepata habari za uhakika kabisa kutoka ndani kwamba muda wowote kuanzia sasa zinaweza kutoka habari za kushtua kwa pande zote tatu na kuna ambaye anaweza kupoteza Mwanaspoti limejiridhisha kutoka…

Read More

MBUNGE UMMY MWALIMU ASISITIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2020-2025 KATIKA MKUTANO WA MWANZANGE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Mhe. Ummy Mwalimu, tarehe 8 Septemba 2024 alifanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Mwanzange, akielezea utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya 2020-2025. Akiongozana na Diwani wa Kata hiyo, Mhe. Bakari Ali Mtavya, Mbunge Ummy alitoa taarifa juu ya hatua zilizochukuliwa kuhakikisha ahadi za…

Read More