Dk 90 Stars mikononi mwa Mzize, Wazir Jr

WASHAMBULIAJI Wazir Junior, Clement Mzize na Cyprian Kachwele wana jukumu kubwa la kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Taifa Stars katika mchezo wa leo dhidi ya Guinea utakaochezwa Uwanja wa Charles Konan Banny uliopo Yamoussoukro nchini Ivory Coast. Guinea ambayo imeamua kutumia uwanja huo kwa mechi zake za nyumbani baada ya nchini kwao kukosa kiwanja chenye…

Read More

Fountain, KenGold mechi ya kihistoria

KESHO, Jumatano, historia inaandikwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo mjini Babati, mkoani Manyara, wakati Fountain Gate FC ikiikaribisha KenGold. Huo utakuwa ni mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kuchezwa mkoani humo ikiwa ni historia kwa wananchi wa eneo hilo kuanza kushuhudia mechi za Ligi Kuu. Manyara yenye wilaya tano za Kiteto, Simanjiro, Mbulu,…

Read More

Mwananchi yaeleza manufaa kongamano la ‘Energy Connect’

Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Victor Mushi amesema lengo la kuandaliwa kwa kongamano la ‘Energy Connect’ ni kuwezesha mazungumzo kuhusu matumizi ya nishati safi nchini Tanzania. Kupitia kampeni isemayo, “ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi ya kupikia, endelevu na mustakabali wa kijani,” watu watajifunza jambo kwa undani. Kongamano hilo…

Read More

Kocha Kagera apata matumaini mapya

BAADA ya kikosi chake kupata nafasi ya kupachika bao moja kwenye sare ya 1-1 dhidi ya Geita Gold, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata ameuona mwanga kwenye safu ya ushambuliaji kabla ya kuikabili Tabora United. Kesho Jumatano, Kagera Sugar itakuwa ugenini kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na kumbukumbu ya…

Read More

UINGEREZA NA WALES KUACHILIA WAHALIFU 1,700 KAMA SEHEMU YA MPANGO WA KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Zaidi ya wahalifu 1,700 nchini Uingereza na Wales watatolewa gerezani mapema leo kama sehemu ya mpango wa serikali wa kupunguza msongamano magerezani. Hatua hii inatekelezwa baada ya serikali ya Labour kuingia madarakani baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Julai, ingawa maafisa walikuwa tayari wamepanga hatua hiyo kabla ya chama cha Conservative kumaliza muda wake madarakani….

Read More

Nchi 15 Umoja wa Ulaya zaguswa mauaji, ukatili Tanzania

Dar es Salaam. Mataifa mbalimbali duniani yameeleza kusikitishwa na taarifa za vitendo vya ukatili, kupotea, vifo dhidi ya wanaharakati wa haki za binadamu na kisiasa nchini, huku yakisisitiza uchunguzi wa haraka kubaini wanaohusika. Masikitiko ya mataifa hayo 15 yanayounda Umoja wa Ulaya (EU) yaliyotolewa na balozi zao zilizopo nchini, yameisihi Serikali kuhakikisha ulinzi wa wapinzani…

Read More

Aliyekuwa Katibu Mkuu RT Gidabuday afariki dunia

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Wilhelm Gidabuday amefariki dunia. Inaelezwa Gidabuday amefariki dunia saa 7 usiku wa kuamkia leo Jumanne Septemba 10, 2024 baada ya kugongwa na gari eneo la Maji ya Chai, mkoani Arusha. Mjumbe wa Riadha kanda ya Mashariki, Alfredo Shahanga ameiambia Mwananchi, kiongozi huyo amefariki baada ya…

Read More

ELIMU YA FEDHA YAWAFIKIA WANANCHI WA MKURANGA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Bw. Waziri Kachi Kombo, akipitia vipeperushi vyenye taarifa za elimu ya fedha alivyokabidhiwa na Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Grace Muiyanza, ofisini kwa Mkurugenzi, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipowasili kwa ajili ya programu ya elimu ya fedha kwa…

Read More