Balaa la walimu waliozaliwa miaka ya 1980

Ualimu ni taaluma inayotaka nidhamu na maadili ya hali ya juu.Hilo ni kwa kuwa ndio taaluma inayohusiana moja kwa moja na malezi ya watoto. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha kada hiyo imekuwa ikikabiliwa na changamoto mbalimbali, ikiwamo utovu wa maadili na ukengeukaji wa miiko miongoni mwa walimu. Matukio kama vile walimu kuwa na uhusiano na wanafunzi…

Read More

TRENI YA MWENDOKASI YASIMAMA KWA SAA KADHAA NGERENGERE, TRC YAOMBA RADHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Safari ya Treni ya Mwendokasi inayosafiri kati ya Dar es Salaam na Dodoma ilisita kwa saa kadhaa usiku wa kuamkia leo, Septemba 10, 2024, katika eneo la Ngerengere. Tukio hilo liliwashtua abiria, ambapo baadhi yao walijirekodi video wakionesha kutokuwa na uhakika wa muda watakaotumia kusubiri. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kwa kuchelewa huko,…

Read More

MONGELLA ATOA MAAGIZO MAALUM KWA VIONGOZI CCM

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, John Mongella, ametoa maagizo maalum kwa viongozi wa chama hicho, akiwahimiza kuhakikisha kuwa wanachama wanandikishwa kuanzia ngazi ya shina hadi taifa. Mongella alitoa maagizo hayo alipomtembelea Balozi wa Shina namba 3, Safina Masanja Kitundu, katika tawi la Buduhe, Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga. Amesisitiza kuwa CCM ni chama chenye…

Read More

Hatima kesi ya Kabendera leo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Jumanne, Septemba 10, 2024 inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowekwa na kampuni ya huduma za mawasiliano kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Public Limited katika kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwanahabari, Erick Kabendera. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Jaji mfawidhi wa…

Read More